Jogoo anachinjwa leo asubuhi tu pale Nou Camp

Jogoo anachinjwa leo asubuhi tu pale Nou Camp

[emoji23][emoji23] mkuu,mie nakwambia liverpool out,poleni.
Hawa mashabiki wa liver wanashda gan? Yaan bado wanamatumaini kuendelea final? Shida iliyopo n kwamba liver Hana uwezo wa kuizuia Barca isipate goli hyo haiwezekan kabsaaa Barca kutoka bila goli hvyo hata iweje liver hawezi kuitoa Barca nimemaliza. MWENGE HAUVUKI KIJIJI SPAIN KWENYE SWALA LA UEFA NI HABARI NYINGINE
 
Greatest Of All Time
IMG_20190502_001832.jpg
 
Wengi wanahisi Barca ni ileile ya kina Xavi Iniesta, Ukweli ni kwamba Barca ya sasa ya kawaida sana na Liverpool ana uwezo wa kuifunga vizuri. Hii Barca ya sasa ni Messi tu.

N. B. :
USIBISHANE NA MIMI KAMA HUWA UNAANGALIA EL CLASSICO TU.

3-0

SUAREZ 1
MESSI 1
MESSI 1 FREEKICK


Kama alivyoahidi King, Makombe yote yanarudi nyumbani....je una jipya kamanda?
 
Ndugu zangu habari za jioni naomba kuwasiliana Kama ifuatavyo Kwanza mm n shabiki wa arsanal kwa epl na kwa ligu dunian Basi n real Madrid. Naomba ieleweke na iwe Kama inavyoeleweka kuwa tmu kubwa za Spain nkimaanisha Barca,real Madrid,na atletical m,hzo tmu zikishafikaga nusu fainal Moja wapo uje lazma iingie fainal EPL n ligi Bora dunian lakn barca, Madrid Ni Bora zaidi kuliko tmu zote za England haswa kwenye swala la uefa hzo tmu hzifai zikishafka semi final mkitaka mzitoe Basi jitahdin huku chini kabsaa kabla hazijafka hko juu. Nasema mwenge hairuki Kijiji na uefa inawenyewe na wenyewe n Spain. Liver anakufa nje ndani na ajax anaenda kufa fainal. Nimemaliza tukutane leo camp nou.
Wewe unaujua mpira vyema na ulisema ukweli kabisaaa
 
Back
Top Bottom