Alikuandaa kabla ya shuguli? alikuwa msafi? hivi pia huwa vinachangia tukio kama hilo
Pls note: hata mwanaume anaadaliwa kabla ya shuguli.
ha ha ha swali lipo hapo juu..
leo nipo yaeda chini...nimekuja kunywa supu ya nyanyi
hata kuisoma kimoyo moyo B? dah
Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!😀nimecheki nipo freshi, hata nikipita threads za mambo ya kikubwa, naona system zote zinafanya kazi... lakini jana.. aisee sijui nikwambiaje
hapo kaka ulifulia! kumbe haukupanga ila ulijikuta tu! siku nyingi fanyeni maandalizi! pangeni kama mnataka kumegana!Busu baada ya busu, tukajikuta katika hoteli moja, tukiwa uchi.
Cha kushangaza, jogoo alikata, kata kata kuwika.tulijaribu njia zote lakini wapi
Si unajua tena binamu kuku wa kienyeji ni mwiko kumkuta bandani saa mbili asubuhi wako nje wanaranda randa tu, hivi binamu tunataniana siku hizi mbona hukutokea?thats my gal. nimedo ze nidiful binamu! vipi kuku bado wanakimbia kimbia eeh?
Kumbe its you guys i saw kissing in that red car lol! the chic is paying if you noo wora amseying! Call her brother, call her, otherwise ndo atakuona si riziki kabsaa.Nilikuwa na rafiki wa kike (sio mpenzi) wa siku nyingi ambaye nilikuwa namtamani lakini niliheshimu urafiki wetu nikanyamaza kwa miaka mingi.
Januari nilikutana naena tukaanza mawasiliano tena. katika mazungumzo nikagundua kuwa hata yeye alikuwa ananipenda na alikuwa aliogopa kusema. Basi tukawa tunakutana kila jioni na kuongea tu.
Jana tulikutana tukawa tunapiga stori maeneo ya coco beach, tukiwa ndani ya gari.
Sijui aligeuka kusema nini, nikampiga busu na tukaanza kupigana mabusu.
Busu baada ya busu, tukajikuta katika hoteli moja, tukiwa uchi.
Cha kushangaza, jogoo alikata, kata kata kuwika.tulijaribu njia zote lakini wapi
Ikabidi nimpeleke kwao bila ya kufanya jambo lolote.
Sasa imefika saa sita hajawasiliana na mimi... nina wasiwasi
Je nimwambie nini?
Ni mara ya kwanza hili limenitokea, je ni jambo la kawaida.
Mwanamke atanielewa ama ndo imetoka?
Naomba ushauri
Si unajua tena binamu kuku wa kienyeji ni mwiko kumkuta bandani saa mbili asubuhi wako nje wanaranda randa tu, hivi binamu tunataniana siku hizi mbona hukutokea?
Jana tulikutana tukawa tunapiga stori maeneo ya coco beach, tukiwa ndani ya gari.
Sijui aligeuka kusema nini, nikampiga busu na tukaanza kupigana mabusu.
Busu baada ya busu, tukajikuta katika hoteli moja, tukiwa uchi.
Cha kushangaza, jogoo alikata, kata kata kuwika.tulijaribu njia zote lakini wapi
Ikabidi nimpeleke kwao bila ya kufanya jambo lolote.
Did the nidi ful, pumba, mahindi na maji havichezi mbali Binamu tena wakati unaendelea na mazoezi ya mbio utamkuta mnono kweli, ha ha ha ha.machale, naendelea na mazoezi yasijenikuta ya soulbrother hapa lol....
so nikishajiamini nitanza mbio tu mi nayeye hadi kieleweke binamu...mrushie rushie mahindi na majani majani....
Mhh... Hapo kuna tatizo mabusu yote hayo na Jogoo kagoma!!! Nenda kamuona Dr haraka iwezekanavyo...Pale pale kwenye gari Jogoo alitakiwa kuleta ishara za kutaka kuwika!!!
duh..nakuonea wivu..hebu fanya utaratibu wa kkausha kidogo uniwekee nikija walau na mi nijinome 'over'
roja roja.....unapendelea maeneo ya 'papa alfa juliet alfa' au 'kilo india delta alfa romeo india?'...over
Nilikuwa na rafiki wa kike (sio mpenzi) wa siku nyingi ambaye nilikuwa namtamani lakini niliheshimu urafiki wetu nikanyamaza kwa miaka mingi.
Januari nilikutana naena tukaanza mawasiliano tena. katika mazungumzo nikagundua kuwa hata yeye alikuwa ananipenda na alikuwa aliogopa kusema. Basi tukawa tunakutana kila jioni na kuongea tu.
Jana tulikutana tukawa tunapiga stori maeneo ya coco beach, tukiwa ndani ya gari.
Sijui aligeuka kusema nini, nikampiga busu na tukaanza kupigana mabusu.
Busu baada ya busu, tukajikuta katika hoteli moja, tukiwa uchi.
Cha kushangaza, jogoo alikata, kata kata kuwika.tulijaribu njia zote lakini wapi
Ikabidi nimpeleke kwao bila ya kufanya jambo lolote.
Sasa imefika saa sita hajawasiliana na mimi... nina wasiwasi
Je nimwambie nini?
Ni mara ya kwanza hili limenitokea, je ni jambo la kawaida.
Mwanamke atanielewa ama ndo imetoka?
Naomba ushauri
unamshauri akamuone dr manyuki?
usisahau dr nipo hapa pia itabidi waje wote wawili kwa nyakati tofauti kwani tatizo linaweza kuwa nakwamwanamke pia kwa msaada zaidi tuwasiliane