Jogoo hana hawara

Jogoo hana hawara

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1635076549156.png
 
Tanga wako soo laid back... Daladala inasimama kwenye junction anasubiriwa mtu mwisho wa mtaa...anatembea dk 3-4 anaikaribia daladala anaulizwa "weendaa? " Anajibu "akuu wala siendii mie navuka huko ng'ambo.." Then anasubiriwa avuke ndio daladala inaondoka.
 
Tanga wako soo laid back... Daladala inasimama kwenye junction anasubiriwa mtu mwisho wa mtaa...anatembea dk 3-4 anaikaribia daladala anaulizwa "weendaa? " Anajibu "akuu wala siendii mie navuka huko ng'ambo.." Then anasubiriwa avuke ndio daladala inaondoka.
Hii Kitu Hata Morogoro walikua nayo miaka ya 2010 hadi 2015 sijui Kama waliacha Huu ukichaa
 
Back
Top Bottom