Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana bwana mdogo.....
Ukubwa wa tatizo ni vile wewe unavyolichukulia.......haikupaswi kukariri kuwa kila ukiamka asubuhi lazima mlingoti usimame.....inategemea wakati upo kwenye wakati gani kifikra......
Suala lote linalohusiana na ngono linataka utayari kifikra na kimwili....
Mimi enzi zangu nilikaa kwa muda wa mwaka mzima bila ya mlingoti kuamka asubuhi....lakini nilijuwa kuwa napitia hayo kwa kuwa nilikuwa nakabiliwa na mambo magumu....ni kama mtalimbo ulikwa likizo.....
Lakini nikija kuuwesha bado makali yapo pale pale.....
Usipanic kijana....kujua tatizo ndio mwanzo wa kulitatua tatizo.....lakini nina hakika kuwa tatizo lako lipo kifikra zaidi na wala sio kiuhalisia kama vile ambavyo wewe unataka kulipeleka......au kulikuza.....
Bwaga moyo wako na ujitahidi kufurahia wakati pamoja na ndugu jamaa na marafiki......usiweke vitu moyoni....usijinyime raha kwa jambo lililo nje ya uwezo wako.....
Justi chill....and relaaaaxx......
Life is so simple....why complicate it....!???
Ushauri 1.Kama upo Dar jisalimishe kwa Makonda akusaidie nauli uhame mkoa wake.Ni kijana 27 yrs, hilo tatizo limenikumba mwezi na nusu sasa. Kila ninapoamka asubuhi jogoo kalala tu imefika wakati naogopa kukutana na mtu wangu nikiogopa kudhalilika. Msaada tafadhali.
<<<<USHAURI>>>>
Kama hujao unataka jogoo liamke kwa sababu gani?Sijaoa mkuu