Jogoo hasimami asubuhi

Mh........haya wajuzi changieni tunasikiliza
 

Nice advise
 
Ni kijana 27 yrs, hilo tatizo limenikumba mwezi na nusu sasa. Kila ninapoamka asubuhi jogoo kalala tu imefika wakati naogopa kukutana na mtu wangu nikiogopa kudhalilika. Msaada tafadhali.
<<<<USHAURI>>>>
Ushauri 1.Kama upo Dar jisalimishe kwa Makonda akusaidie nauli uhame mkoa wake.
Ushauri 2. Washa mshumaa na dondoshea jogoo lako yale mafuta wakati mshumaa unaendelea kuwaka. Jogoo akiamka fahamu huna tatizo, jogoo akiendelea kulala, uanze kuvaa mavazi ya "she".
 
very simple panda gari nenda Manyara Kwa njia ya Arusha Ktkt ya Makuyuno na Babati kuna mahali panaitwa KCMC ........ uko babu hapo Kiboko unaingizwa zizini na beberu Mweusi. Usiache kutuketea Mrejesho
 
Mbona mimi Huwa haisimami asubuhi ni usiku tyuu kwa mfano nikiamka kwenda kukojoa huwa imesimama tatizo Watu wanakariri sio lazima asubuhi yawezekana usiku ilisimama ukiwa hujitambui ondoa uoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…