Jogoo kaniaibisha mbele ya mchepuko

Jogoo kaniaibisha mbele ya mchepuko

[emoji23][emoji23][emoji23]akimuona mchepuko abadili mbinu na hivi wanawake husimulia hizo story zitasambaa Sana.
Dah naogopa sana siku ya kwanza kukutana na mchepuko halafu mashine ikusaliti 😅 bora nitulie tu! Kama ndio demu wa mtaani anakutangaza kwamba amna kitu pale kidude kimelegea kama mlenda!
 
Hehehe Nigga do not give up, hizo ni changamoto tu za hapa na pale.

Next time tulia na mke wako.
 
Dah naogopa sana siku ya kwanza kukutana na mchepuko halafu mashine ikusaliti [emoji28] bora nitulie tu! Kama ndio demu wa mtaani anakutangaza kwamba amna kitu pale kidude kimelegea kama mlenda!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah naogopa sana siku ya kwanza kukutana na mchepuko halafu mashine ikusaliti [emoji28] bora nitulie tu! Kama ndio demu wa mtaani anakutangaza kwamba amna kitu pale kidude kimelegea kama mlenda!
Ila ni fedheha flani hivi, na wanawake huwa wanasimuliana saloon, duh nikajifunza kumbe wanaume hununua Malaya kuonyesha ukidume hata kama hasimamishi anachezea tu mwanamke basi. Dah hizi story nimesikia kwa wanawake wengi, na sikuhizi Kuna mitandao wanaomba file.
 
Pole Sana Mkuu- hizo ndio ajali za mapenzi- jipange tena urudie mechi- kuwa makini mechi ya marudio hiyo kitu isitokee tena.
 
Ila ni fedheha flani hivi, na wanawake huwa wanasimuliana saloon, duh nikajifunza kumbe wanaume hununua Malaya kuonyesha ukidume hata kama hasimamishi anachezea tu mwanamke basi. Dah hizi story nimesikia kwa wanawake wengi, na sikuhizi Kuna mitandao wanaomba file.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwanini wasipigwe madole kubustiwa, khaaah
 
Back
Top Bottom