Jogoo niliyemnunua kwa ajili ya kitoweo anawika mfululizo, nifanyaje?

Jogoo niliyemnunua kwa ajili ya kitoweo anawika mfululizo, nifanyaje?

Socw

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2016
Posts
1,329
Reaction score
2,644
Leo nimenunua kuku (jogoo) kwa ajili ya kitoweo cha kesho lakini tangu nimemfikisha nyumbani anawika sana. Yaani japo nimemfunga lakini anawika mfululizo kama kuna mashindano.

Hii siyo kawaida kabisa, maana nimenunua mamia ya kuku kwa kitoweo ila hawakuwa kama huyu wa leo. Yaani sijui anawaza amekuja kustarehe hapa kwangu? Inaonyesha ni kiasi gani ana dharau sana huyu kuku, yaani anawika nyumbani kwangu!

Nimfanyaje anyamaze hadi kesho siku ambayo nitamchinja?

Nimechoka makelele...
 
Sielewi mie..jogoo na hili jukwaa wap na wapi? Nitoeni tongo tongo wakuu
 
Hujamnunua shamba ndio maana
 
.
Leo nimenunua kuku (jogoo) kwa ajili ya kitoweo cha kesho lakini tangu nimemfikisha nyumbani anawika sana. Yaani japo nimemfunga lakini anawika mfululizo kama kuna mashindano.

Hii siyo kawaida kabisa, maana nimenunua mamia ya kuku kwa kitoweo ila hawakuwa kama huyu wa leo. Yaani sijui anawaza amekuja kustarehe hapa kwangu? Inaonyesha ni kiasi gani ana dharau sana huyu kuku, yaani anawika nyumbani kwangu!

Nimfanyaje anyamaze hadi kesho siku ambayo nitamchinja?

Nimechoka makelele...
Ilikuwa lazima nimuuze kwakuwa hata huku bandani alisumbua sana.. Hakuisha ubakaji na hakuchagua wa kubaka
IMG-20200402-WA0108.jpeg
IMG-20200402-WA0107.jpeg


Jr[emoji769]
 
Mimi nina wa kwangu yeye huwika hata saa 5 au 6 usiku. Ni kitu gani wakuu hiki? Maana tumezoea wawike alfajiri kutuamsha.
 
Me nimejiskia vby sn sn vile umeongea hasa kusema kuwa anadharau nk. Ukifikilia vzr hayo maneno yana chembe ya ukatili kwa huyo kiumbe. Nakushauri huyo kuku usimchinje. Muache, nenda ukatafute kuku mwingine tu kesho bro. Nakuomba sn
Leo nimenunua kuku (jogoo) kwa ajili ya kitoweo cha kesho lakini tangu nimemfikisha nyumbani anawika sana. Yaani japo nimemfunga lakini anawika mfululizo kama kuna mashindano.

Hii siyo kawaida kabisa, maana nimenunua mamia ya kuku kwa kitoweo ila hawakuwa kama huyu wa leo. Yaani sijui anawaza amekuja kustarehe hapa kwangu? Inaonyesha ni kiasi gani ana dharau sana huyu kuku, yaani anawika nyumbani kwangu!

Nimfanyaje anyamaze hadi kesho siku ambayo nitamchinja?

Nimechoka makelele...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana nimemla, sasa naishi kwa amani bila makelele.
Sridi klozed
 
Back
Top Bottom