Joh Makini alezea ukweli uliopo kuhusu uvumi wa hisia zake kwa Mimi Mars

Joh Makini alezea ukweli uliopo kuhusu uvumi wa hisia zake kwa Mimi Mars

Acha tu mkuu.. Hii dunia kuna watu wanajiona wajanja sana, nidhamiria kufanya kitu kiovu kwake lakini moyo ukaniambia hapana muacheni tu.. Sitaki kufungaka zaidi kiusalama hapa JF

Simpendi mno huyu kiumbe
Pole sana mkuu, iachie KARMA tu sasa, inaelekea mnajuana kitambo au mnakaa kitaa wote ama ni issue kakufanyia akiwa star tayari. Ila jamaa me huwa namuona cool sana mbona.
 
Acha tu mkuu.. Hii dunia kuna watu wanajiona wajanja sana, nidhamiria kufanya kitu kiovu kwake lakini moyo ukaniambia hapana muacheni tu.. Sitaki kufungaka zaidi kiusalama hapa JF

Simpendi mno huyu kiumbe
namjua yule demu alipiga mkuu ,pole sana
 
Pole sana mkuu, iachie KARMA tu sasa, inaelekea mnajuana kitambo au mnakaa kitaa wote ama ni issue kakufanyia akiwa star tayari. Ila jamaa me huwa namuona cool sana mbona.
Wala hatukai pamoja tumejuana muda mfupi tu baada ya wiki moja alinitibua vilivyo, hana Ucool wowote ni vile tu jambo kama hulijui ni ngumu kuaamini ukiambiwa. Issue ya miaka kama 5 imepita

Yaani mtu akimsifia au kuzungumzia habari zake huyo jamaa nachukia mno.. Mungu anajua zaidi aisee
 
Wala hatukai pamoja tumejuana muda mfupi tu baada ya wiki moja alinitibua vilivyo, hana Ucool wowote ni vile tu jambo kama hulijui ni ngumu kuaamini ukiambiwa. Issue ya miaka kama 5 imepita

Yaani mtu akimsifia au kuzungumzia habari zake huyo jamaa nachukia mno.. Mungu anajua zaidi aisee
Joh makini alikunaniiii..???? tuambizane mapema tujue
 
Tuseme yote ila jamaa nyimbo zake zina vina vya hatari
 
Hawapendi kuniona kwenye Tv,
Hawapendi kunisikia kwenye CD,
Hawapendi kusikia sauti yangu radioni,
kama Mandugu na Joh Makini Mtamboni x2
 
Back
Top Bottom