Uchunjuba Punjubi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 799
- 622
Pole sana mkuu, iachie KARMA tu sasa, inaelekea mnajuana kitambo au mnakaa kitaa wote ama ni issue kakufanyia akiwa star tayari. Ila jamaa me huwa namuona cool sana mbona.Acha tu mkuu.. Hii dunia kuna watu wanajiona wajanja sana, nidhamiria kufanya kitu kiovu kwake lakini moyo ukaniambia hapana muacheni tu.. Sitaki kufungaka zaidi kiusalama hapa JF
Simpendi mno huyu kiumbe