ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Habariniiii.....Siku za hivi karibuni msanii wa Hip hop laini toka kwa Weusi alitoa wimbo unaitwa Perfect Kombo alio mshirikisha Chidima wa Nigeria ni wimbo mzuriiiii sawa lakini vipiiii mbona kama umecopy kwa Vice Vesa Ya Bonge la nyau
Najua mashairi ni kweli hayapo sawa lakini hizi beat na miondoko na kila kila kitu mbona kama ni Sawa na Vice Vesa???? Hapo imekaajeeee naona Bro Joh makini Umeamua Kucopy sawa buanaaa!!!
Ulivyoambiwa unaandikiwa na Nikki ulikataa ukatoa na wimbo kabisa wa Do'nt bother sasa hii Vice Vesa ya Bonge la Nyau imetoka mwaka Jana wewe perfect Kombo umeitoa juzi juzi tuuu hapaaa so umecopy hahahahahaha Joh makini weeeeeee mbayaaaaa
Najua unaweza kuwa na mashairiiiii kibaoooo lakini linapokujaaa sualaaaa La bitiiii huwa ni shidaaaa ni kweliii Joh makini umecopy!!Hahahahahaha kama nakuona vile Joh makini,sio kitu cha ajabu kucopy biti lakini ni vizuriii ukakubariiiii
Idea haziwezi kugonganaaa zikatoa biti lile lileee hapanaaaaa.....Diamond alisema ukweli mimi A.Y ndo kanikutanisha na Davido bila yeye nisingekuwa kama sasa So na wewe Joh makini ni mda wa kukubariiiii kuwa Umecopy umecopy umecopy
Wadau sikilizeni Vice Vesa ya Joh makini na Perfect Kombo ya Joh Makini utakuja kuniambiaaa kuwa Ni kweli amecopy ila hajapaste ameedit
Ila Joh Makini Sio mara yako ya kwanza kucopy biti tushaona umechukua biti za Jay Z ,umechukua Biti ya Blue Pesa na zingine nyingi so hizi kashfaa umeshazizoeaaa ila Badirikaaaaa acha kucopy au ukicopy Kubariiiii na utoe credit
Najua mashairi ni kweli hayapo sawa lakini hizi beat na miondoko na kila kila kitu mbona kama ni Sawa na Vice Vesa???? Hapo imekaajeeee naona Bro Joh makini Umeamua Kucopy sawa buanaaa!!!
Ulivyoambiwa unaandikiwa na Nikki ulikataa ukatoa na wimbo kabisa wa Do'nt bother sasa hii Vice Vesa ya Bonge la Nyau imetoka mwaka Jana wewe perfect Kombo umeitoa juzi juzi tuuu hapaaa so umecopy hahahahahaha Joh makini weeeeeee mbayaaaaa
Najua unaweza kuwa na mashairiiiii kibaoooo lakini linapokujaaa sualaaaa La bitiiii huwa ni shidaaaa ni kweliii Joh makini umecopy!!Hahahahahaha kama nakuona vile Joh makini,sio kitu cha ajabu kucopy biti lakini ni vizuriii ukakubariiiii
Idea haziwezi kugonganaaa zikatoa biti lile lileee hapanaaaaa.....Diamond alisema ukweli mimi A.Y ndo kanikutanisha na Davido bila yeye nisingekuwa kama sasa So na wewe Joh makini ni mda wa kukubariiiii kuwa Umecopy umecopy umecopy
Wadau sikilizeni Vice Vesa ya Joh makini na Perfect Kombo ya Joh Makini utakuja kuniambiaaa kuwa Ni kweli amecopy ila hajapaste ameedit
Ila Joh Makini Sio mara yako ya kwanza kucopy biti tushaona umechukua biti za Jay Z ,umechukua Biti ya Blue Pesa na zingine nyingi so hizi kashfaa umeshazizoeaaa ila Badirikaaaaa acha kucopy au ukicopy Kubariiiii na utoe credit