Joh Makini Hii Perfect Kombo Vipi?

Joh Makini Hii Perfect Kombo Vipi?

Kwa mtazamo wangu midundo ya huo wimbo wa Perfect Combo mimi naifananisha sana na ile iliyo katika wimbo wa Wasiwasi wa Mapenzi wa Stara Thomas. Nadhani wengi waliowahi kuusikia huo wimbo wa Wasiwasi wa Mapenzi uliotoka nadhani 2006 kama siyo 2007 basi watakubaliano na mtazamo wangu.N.B: Sina tatizo la mwanamuziki kukopi kwa mwenzie kwa sababu ni jambo la kawaidi kwa karne nyingi.
What do want then?
 
Habariniiii.....Siku za hivi karibuni msanii wa Hip hop laini toka kwa Weusi alitoa wimbo unaitwa Perfect Kombo alio mshirikisha Chidima wa Nigeria ni wimbo mzuriiiii sawa lakini vipiiii mbona kama umecopy kwa Vice Vesa Ya Bonge la nyau

Najua mashairi ni kweli hayapo sawa lakini hizi beat na miondoko na kila kila kitu mbona kama ni Sawa na Vice Vesa???? Hapo imekaajeeee naona Bro Joh makini Umeamua Kucopy sawa buanaaa!!!

Ulivyoambiwa unaandikiwa na Nikki ulikataa ukatoa na wimbo kabisa wa Do'nt bother sasa hii Vice Vesa ya Bonge la Nyau imetoka mwaka Jana wewe perfect Kombo umeitoa juzi juzi tuuu hapaaa so umecopy hahahahahaha Joh makini weeeeeee mbayaaaaa

Najua unaweza kuwa na mashairiiiii kibaoooo lakini linapokujaaa sualaaaa La bitiiii huwa ni shidaaaa ni kweliii Joh makini umecopy!!Hahahahahaha kama nakuona vile Joh makini,sio kitu cha ajabu kucopy biti lakini ni vizuriii ukakubariiiii

Idea haziwezi kugonganaaa zikatoa biti lile lileee hapanaaaaa.....Diamond alisema ukweli mimi A.Y ndo kanikutanisha na Davido bila yeye nisingekuwa kama sasa So na wewe Joh makini ni mda wa kukubariiiii kuwa Umecopy umecopy umecopy

Wadau sikilizeni Vice Vesa ya Joh makini na Perfect Kombo ya Joh Makini utakuja kuniambiaaa kuwa Ni kweli amecopy ila hajapaste ameedit

Ila Joh Makini Sio mara yako ya kwanza kucopy biti tushaona umechukua biti za Jay Z ,umechukua Biti ya Blue Pesa na zingine nyingi so hizi kashfaa umeshazizoeaaa ila Badirikaaaaa acha kucopy au ukicopy Kubariiiii na utoe credit
" Wadau sikilizeni Vice Vesa ya Joh makini na Perfect Kombo ya Joh Makini utakuja kuniambiaaa kuwa Ni kweli amecopy ila hajapaste ameedit"
"kasoro zenye kasoro" binamu
 
Muziki ni elimu kama elimu nyingine,ukikosa elimu kichwani utakuwa mpumbavu tu.Kuna kusikiliza na kuutambua muziki,sasa mtoa mada amesikiliza tu huu wimbo bila kuutambua.Yaani dunia nzima kuna wanamuziki na wanatumia beats kutengeneza nyimbo zao.Unataka kusema hizo nyimbo mamilioni kwa milioni dunia nzima hakuna hata nyimbo mbili tu zitashabihiana kwa beat japo kwa 1% moja tu?

Tunapo-judge muziki kama umekuwa-copied na mtu,huwa tunaangalia vitu vingi sana.Kuna msanii mmoja wa bongo fleva anaitwa Timbulo,yeye aliimba wimbo unaitwa "Wa leo wa kesho".Ukisema yule amekopi na kupest kutoka kwa msanii(sikumbuki jina lake),lakini nadhani ni wa Afrika Magharibi au kati.Timbulo ameiga kila kitu kasoro lugha tu.

So tuwe wakosoaji wazuri,tuweke 'unaa'pembeni!
 
Sijaona kosa la Joh Makini labda ungesema producer aliyetengeneza hiyo ngoma.
 
Kwenye video jamaa yupo kwenye sofa anabonyeza pad kama anacheza game wakati screen ipi off
 
Hakuna ubishi hapa
nakukumbuka-diamond vs
yamoto band-nitajuta au jina jingne nimesahau saiv
 
Back
Top Bottom