Joh Makini ni noumerrrrrr

Joh Makini ni noumerrrrrr

SHERRIE

Member
Joined
Mar 22, 2012
Posts
76
Reaction score
19
Heshima mbele wakuu.
Duh, yani naangalia show ya fiesta live kutoka clouds tv. Nadiriki kusema Joh Makini amefunika mbaya. Nahisi kama yeye ndo kadumu stejini muda mrefu zaidi ya wasanii wote na karusha watu mwanzo mwisho. Weussssiii!!!!!
 
Huyo jamaa yuko na talent.
He is blessed.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Ndio nani huyo?
Fiesta ndio nini?
 
Upe Upe Upe,Nawakilisha Arusha kama christopher wallace B.R.O.O.K.L.N I'm goin In!!!
 
Wewe ndio unaongoza jukwaa hili kwa kuleta habari za udaku za mastaa wenu mavi , halafu leo humjui Super Star wako wala Redio ya Wafu!?
kwakuwa leo ni jumapili naomba nikujibu kama yesu wewe wasema
 
namkubali sana huyu jamaaa...
 
Kweli macho yanatofautiana.Me nilikuwepo leaders,natoa ushuhuda kwamba STAMINA na MWANAFA ndo walifunika
 
Yani jamaa alikuwa stage warmer/opening act wa ROZAY. Kaamsha shangwe za kutosha sana, kila ngoma anaimba na crowd.
Namkubali sana aisee.

Sure mkuu, jamaa anaweza sana.
 
Back
Top Bottom