Joh makini unamtafuta nini FID Q??

Mkuu, si kwa ubaya ila kama ikikupendeza ningependa kujua elimu yako. Hata hao waandishi wa vitabu huwa hawaandiki tu kutoka hewani, huwa wanasoma machapisho ya wengine, wanafanya research kuhusu mambo kadha wa kadha kuhusu wanachotaka kuandika ndipo wanaketi chini na kuanza kuandika. Kama Fareed anaandika kutoka vitabu basi inabidi tumuweke katika kundi la peke yake maana anakuwa amewazidi kwa mengi wasanii wenzake. Mkuu maarifa makubwa hupatikana kwenye vitabu. Kama ni kweli Fareed anasoma vitabu basi inabidi tumuheshimu sana.
 
Mimi ni moja wa fan wa Joh yule sio huyu wa leo.
 
Mimi ni moja wa fan wa Joh yule sio huyu wa leo.
Ingawa huwa wanasema sanaa haina mipaka na kwamba anachokitoa msanii na namna anavyokitoa ni feelings zake so huwezi kupangia hisia zake ila Joh huyu toleo jipya simsomi kabisa
 
JOH MAKINI HAMTAFUTI FID Q, ANATAFUTA KIKI. umeelewa muraa?
 
Ni heri ya thierry henry mzee kuliko giroud kijana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…