Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
Imagine pia jamaa wangekuitishieni kua nyie ni wezi au majambazi, nini kingefuata? I understand uchungu wa kudai chako, lakini ktk scenario shurti upime cons and pros.Asante kwa ushauri!ila inauma mtu unadai kitu halali yako matokeo unadhalilishwa kama kibaka!!!!!!
Mkulu tuwe realistsic kidogo. Wafanyabiashara wengi wa bongo ni dhalumat balaa. Hebu sikiza kila siku operesheni za TRA, TANESCO, TBS, DAWASCO etc utajua kua wachakachuaji wakubwa ni wafanyabiashara wakubwa. Wanchofanya mara nyingi ni kuji-attach na CCM. Kinachofuata hapo ni kama wanalipa protection money kwa CCM na wao kupitia policcm au mahakama uchwara wanawalinda ktk hali tofautitofauti. This is how MAFIOSO systems works. Unakumbuka kauli ya Sumaye kua ukitaka mambo yako yanyooke ufanyeje? Usiniulize zaidi/Pale kwa shigongo napafahamu sana...possibly mulikuwa mukishushia muziki wa bend yao pale...nijuavyo mie hotel kama ya shigongo kutokuwa na risit halali ya tra ni kosa la jinai...kama mama lishe na vibaa vya uswazi wanatoa risiti halali itakuwa kwa shigongo wanapouza chumba si chini ya tsh elfu hamsini na wana vyumba zaidi ya 30 ikimaanisha wanaingiza 1.5m a day na 45m a month....hapo kuna kitu tuuuu...mwiteni shigongo aelezee kwa kina juu ya haya tunayojadiliana hapa na pia akuombe radhi na awaandikie tra kuwa keshamtimua meneja wake asiyetaka kutii sheria za nchii hii.
Hotel ya Mpendwa Shigongo hii.
Nasikia ameuziwa Sshigongo toka kwa mzee mmoja hivi alikuwa contractor wa nyumba za jeshi Lugalo,si ajabu kuwa naye alimuuzia AM na masawe nyumba zake nyingi kahamisha umiliki kwa kuhofia soo yake na pedeshee Pappa MsoffeAcha Uongo Hii Hotel ni ya Alex Masawe na Huyo Manager Ni Jambazi wa kutupwa sasa nasikia yupo CCM alishawahi kuwa na kesi ya kuiba Costa
Hayo maneno ya meneja umeyaona wapi?Pombe noma!hapa sijui tumwamini meneja au tumwamini huyu aliyekuwa amelewa.
Hayo maneno ya meneja umeyaona wapi?
TRA wameshapata taarifa, wameshaanza kufatilia