John Blanke alikua mpiga tarumbeta wa Mfalme Henry Vi na VIII

John Blanke alikua mpiga tarumbeta wa Mfalme Henry Vi na VIII

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1628055306521.png

Inasemekana alihamia Uingereza na Malkia Catherine wa Aragon kutokea Hispania. Alikua mtumbuizaji kwenye mazishi ya Mfalme Henry VII na aliburudisha siku Mfalme Henry wa VIII anawekwa wakfu.

Alifunga ndoa na ni mmoja ya waliompa zawadi. Mflme Henry VIII alimpa zawadi. Baada ya hapo alipotea na habari zake nyingi hazikuandikwa.
 
Nadhani mtoa mada anazungumzia suala la rangi zaidi. Yaani karne ya 16 Uingereza ukute mpiga tarumbeta mweusi, tena anayekwenda kusherehesha kwa mfalme? Ukizingatia kuwa hata hii karne ya 21 bado matukio ya ubaguzi na unyanyasaji ya watu weusi unaendelea, je huyu John alikuwa mtu wa aina gani?
 
Mbona ana fanana sana na Chibu? Au macho yangu yananiongopea?
Midomo ni kweli, labda ni genes za ukoo mmoja, wengine walikwenda Ulaya wengine wakasogea mpaka Afrika Mashariki.
 
Back
Top Bottom