Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Akistaafu mtamnunuliza sukari au kumlishia familia yake..
Kuna wakati alikuwa anafunga mpaka watu wakawa wanamtania "Boko Haram".Huyu jamaa mimi sijawahi kuona kama ni mchezaji
Unaambiwa makipa wajiandaeHuyu jamaa mimi sijawahi kuona kama ni mchezaji
Huyo hana issue, bora uweke jiwe, pengine mpira unaweza kugusa jiwe likafanya deflection goli likaingiaUnaambiwa makipa wajiandae
Ngoja ligi ianze tuone kama hizi lugha za kejeli kwa Yanga kama zitaendelea au lahAkiperform vizuri huko Yanga watamchukua dirisha dogo
Atachukuliwa na Alhilalπ€£Akiperform vizuri huko Yanga watamchukua dirisha dogo
dah wabongo mnakejeli sanaπ€£π€£π€£π€£Huyu jamaa mimi sijawahi kuona kama ni mchezaji
Hata sijui ila najua ni babu wa simba πAna miaka mingapi kwan maana kama 3yrs back alikuwa na 27yrs
Bado kijana huyo mwakani ndio kwanza ana timiza 30yrs πHata sijui ila najua ni babu wa simba π
Akachukue nafasi ya nani labdaAkiperform vizuri huko Yanga watamchukua dirisha dogo
Huyu nae se akasomee ukocha huko