Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Kwenye mechi ya Simba na Mbabane kuna chance Bocco amezikosa kosa sana, anabaki na kipa halafu anampigia mpira badala ya kuangalia angle. Halafu pia hatoi pasi nzuri za umaliziaji kwa wenzake, unaona kabisa Okwi au Kagere pasi ingemfikia ni goli ila Bocco amekuwa akizidisha pasi zinakuwa ndefu.
Bado hana target nzuri, tofauti na chama amekuwa akitoa pasi zenye macho. Simdiss ila ni ukweli mambo madogo ya kujirekebisha maana ni nafasi muhimu kuzitumia kupata ushindi.
Bado hana target nzuri, tofauti na chama amekuwa akitoa pasi zenye macho. Simdiss ila ni ukweli mambo madogo ya kujirekebisha maana ni nafasi muhimu kuzitumia kupata ushindi.