lufungulo k
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 2,601
- 2,058
Muda uliopo ni hadi 2020, atakuwepo uwanjani mwaka huo?
Katika game ya jana, Msuva ameshinda goli ngapi?Bocco ameshachoka, huo ndio ukweli, hastahili kuwa mshambuliaji wa kupangwa timu ya taifa , acheni ushabiki usio na tija... Bora hata Maguli alionyesha kauwezo cosafa ila sio Bocco, amechoka long time ago, ni mshambuliaji wa kucheza ligi tu sio national team.
ukiangalia hiyo timu..utajua tu kwamba mwalimu hakuna,hakuna mchezaji anaeonekana kufanya lolote..organization hakunaUnampaje muda mchezaji aliyekongoroka kwa uzee ?
Siku hazigandi mkuu .
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji127] simba mna majibu kwelikweliMsuva alikuwa anacheza na wewe kitandani?mbona humtaji
Ebu tema hili povu kwenye beseni na uanze kufua nguo zako maana Madukani OMO zimeisha ...[emoji23]Msuva alikuwa anacheza na wewe kitandani?mbona humtaji