John Boko ajiunga na atimu ya Taifa Afrika Kusini

Tunashukuru kwa taarifa mkuu ila siku nyingine ukitaka kuleta uzi fanya upembuzi yakinifu kwa taarifa yako boko sio kiungo na pia swala la uandishi,naomba ufanye mazoezi ya kutosha kwani unaandika vibaya mno.
Sawa mkuu
 
Sijawahi kuona mchango wa John Bocco kwenye vikosi vya Taifa, huwa anakasumba ya kujitolea kwenye club na si Taifa.
 
Kwa mfano...

Baada ya kutokuwapo kwa Samatta na sasa Majeruhi mwingine kapatikana, unashauri nani angeitwa kuchukua nafasi ya ushambulizi ?
Ni mara kumi hata ingefanyika technical switch kwa Msuva au Ulimwengu acheze kati...

Bocco mpira hawezi labda kama wanataka tu kuongeza idadi ya wachezaji...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…