mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Na wewe una uhakika amesaini Simba pekee?! Narudia, hili lihuni linafaa kuchukuliwa hatua kali ikiwa na pamoja kungiwa angalau miaka 5!
Kawaambie Magori aliyeongea na Mwanapost kwamba ana chuki!!! Na kama Magori hajasema, akanushe basi habari iliyoandikwa na Mwanaspoti!Hayo umesema wewe na chuki zako
Tatizo hatuwezi kupanga mpango wa mwaka mmoja tu mbele. Si kwa Simba tu hata Yanga. Mikataba yote miaka miwili. Kwa nini? Mengine iwe mwaka na mingine miaka mitatu. Ukibaki mwaka mmoja, kwa nini hawaongezi mkataba?Bongo tunatabia ya kuchukia Mambo poa POA Sana
Simba walipaswa kulimaliza hili na Polokwane kimya kimya
Magoli anasema wanajua Bocco alisani Polokwane tangu mwezi April
Walichokuwa wanafanya Ni kuongea na Polokwane wanunue hiyo pre contact ila jamaa wameweka ngumu
Bocco na anawaomba Polokwane wasimshtaki abaki Simba
Mchezaji anacheza ligi kwa miaka zaidi ya mi 5
Alafu anafanya mambo ya ajabu kama haya.
Wachezaji wengi bongo hawajielewi
[/QUOTE
Tatizo hatuwezi kupanga mpango wa mwaka mmoja tu mbele. Si kwa Simba tu hata Yanga. Mikataba yote miaka miwili. Kwa nini? Mengine iwe mwaka na mingine miaka mitatu. Ukibaki mwaka mmoja, kwa nini hawaongezi mkataba?
Baada ya miaka miwili karibu kila mchezaji anakuwa kamaliza muda wake, wanaanza kusajili upya kabisa.
Kaka soka la bongo halina jipya! Tuliwashangaa AZAM FC kuruhusu 4 senior players kumaliza contracts na Kuondoka at per (BOCCO, MANULA, NYONI & KAPOMBE) afu timu inataka kushindana na SIMBA na YANGA Ktk EPL!Tatizo hatuwezi kupanga mpango wa mwaka mmoja tu mbele. Si kwa Simba tu hata Yanga. Mikataba yote miaka miwili. Kwa nini? Mengine iwe mwaka na mingine miaka mitatu. Ukibaki mwaka mmoja, kwa nini hawaongezi mkataba?
Baada ya miaka miwili karibu kila mchezaji anakuwa kamaliza muda wake, wanaanza kusajili upya kabisa.
Kweli mpole mana hata akitiwa madole ananyamaza na kuchekelea tuBocco ana uhuni gani?
Huyu ni moja ya wachezaji wastaarabu katika wachezaji wote Tanzania naweza kuthubutu kusema hivyo.
Fatilia mechi za Azam alipokuwako akiwa kama kiongozi uwanjani au za Simba anapokuwa anacheza kama timu inafanya mambo ya kijinga Bocco ni the best player mwenye nidhamu Bongo hana uhuni yule.
Wahuni ni kina Mkude hawa wako wengi wanakipiga sana uwanjani na uhuni ni nature yao
Kwani hujaona wa manula??simba tulijua wako kimya wanafanya usajili wa uhakika. kumbe vituko vitupu
Kwani hujaona wa manula??
Kaongeza mkataba huko mzee wa klini shiti za khamsa
Huwa nafikiria sana kwanini unaitwa severine na kuna pahala nilishakwambia hilo ni jina la kike naona unapuuza.Kweli mpole mana hata akitiwa madole ananyamaza na kuchekelea tu
Huwa nafikiria sana kwanini unaitwa severine na kuna pahala nilishakwambia hilo ni jina la kike naona unapuuza.
Severine sio Alex kwamba mwanamke nae anaweza kuitwa hivyo severine ni jina la kike nimesoma nao wawili kwa nyakati tofauti na ninawafahamu wengine kama watatu wanaishi mtaani huku
[emoji3][emoji3][emoji3]Hii itakuwa transfer ya mwaka
John Boko Simba to Polokwane City - Free
John Boko Polokwane City to Simba - enclosed Fee
[emoji3][emoji3][emoji3]Sasa nimeshapata Picha Kwanini Wazee Wawili Walalahoi Akilimali na Kilomoni wanasumbua Wasomi Wakubwa na Matajiri Wakubwa pale YANGA na SIMBA.