njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
uyo jamaa nilishamdharaugi tangu apigwe kidole na mchezaji mwenzake afu hakurusha hata ngumi tu. simba bakini naye tu yanga huyo hana nafasi kabisa.Hapa sasa utaona tofauti ya meneja mwenye akili na meneja muhuni ,yaani zimbwe ilitakiwa makelele yote yale hadi kutafuta back up ya shaffih dauda kuitukana simba ili mchezaji wako apewe mkataba mpya?
Mbona meneja wa John boko hajapitia mhaho wote huo?Once a muhuni always a muhuni jitu limekulia maisha ya usela mavi ya manzese halitabadilika yaani zimbwe huyo jamaa unadhani ndo atakupeleka teams za south africa? thubutuu sidhani hata kama anayo e mail adress yule
View attachment 1766712
inahusiana nini na meneja wake na thread hiiuyo jamaa nilishamdharaugi tangu apigwe kidole na mchezaji mwenzake afu hakurusha hata ngumi tu. simba bakini naye tu yanga huyo hana nafasi kabisa.
Unaongea kama utopolo?uyo jamaa nilishamdharaugi tangu apigwe kidole na mchezaji mwenzake afu hakurusha hata ngumi tu. simba bakini naye tu yanga huyo hana nafasi kabisa.
Wanayanga mmeanza kuchanganyikiwa [emoji23][emoji23][emoji23] ndo umejibu nn sasa ambacho hakihusiani na threaduyo jamaa nilishamdharaugi tangu apigwe kidole na mchezaji mwenzake afu hakurusha hata ngumi tu. simba bakini naye tu yanga huyo hana nafasi kabisa.
hii ishu imewasaidia kusahau kipigo cha azam na cha weekend kinachokuja cha prisonsWanayanga mmeanza kuchanganyikiwa [emoji23][emoji23][emoji23] ndo umejibu nn sasa ambacho hakihusiani na thread
Kuwa kwenye soka muda mrefu sio sababu ya kupayuka kwa mambo ambayo meneja anaweza kuonana na uongozi wa team na wakazungumza.Meneja wa Mohammed Husein yupo kwenye soka la bongo wakati MO Bado Mtoto, Babra Hajazaliwa, Anaposema wachezaji wa Bongo hawapewi thamani halisi kulingana na uwezo wao uwanjani ana maanisha.
Kwenye mikono yake wamepita wachezaji wengi wengine wamesha staafu mpira. Ndio maana hakutaka kui bembeleza Simba, alichotaka wote wafaidike Simba na mchezaji. Mambo ya kucheza hizi timu kwa ushabiki ayapo sikuhizi.
tofauti ya boko na zimbwe kiakili imeonekana yaano boko imeenda poa bila mikwaruzano ,huyo mwingine atarajie simu za kutosha toka kwa ndugu jamaa na marafiki kuomba hela maana chawa wake wamekiwasha kweli ilibaki kidogo watuambie hata boxer anavaa ya rangi ganiBoko amesaini kandarasi ya miaka mingapi?.
sasa mtu anapigwa kidole na Nyoso afu hata ngumu tu hajarusha anakujaje yanga sasa, akae hukohuko simba.Wanayanga mmeanza kuchanganyikiwa [emoji23][emoji23][emoji23] ndo umejibu nn sasa ambacho hakihusiani na thread