sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
huyo bolton anapenda vita sana, sio mara ya kwanz akufukuzwa, hata bush aliwahi kumfukuza, hakuna kipya hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanapomchagua wanakua hawayajui haya ?!huyo bolton anapenda vita sana, sio mara ya kwanz akufukuzwa, hata bush aliwahi kumfukuza, hakuna kipya hapa
Bolton au Trump?Huyo Mzee kashiriki kudhulumu watu wengi sana Haki yao ya kuishi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Duu bora jukwaa hili maana lile jukwaa la jamii intelligence limejaa stori za vijiwe vya kahawa mtu anakwambi mwaka 2045 hii dunia itahama na kwenda mbinguni
kumbe trump naye anategemea kura za wakulima teh tehInasekana Trump alimwomba Rais wa China anunue bidhaa za wakulima toka Marekani ili ajipatie ujiko kwa wakulima aweze kuchaguliwa kwa awamu ya pili...Kitendo kinachotafsiriwa kwamba ni kuomba kusaidiwa kushinda Uchaguzi.
BoltonBolton au Trump?
Karibu JFDuu bora jukwaa hili maana lile jukwaa la jamii intelligence limejaa stori za vijiwe vya kahawa mtu anakwambi mwaka 2045 hii dunia itahama na kwenda mbinguni
😃😃😃Duu bora jukwaa hili maana lile jukwaa la jamii intelligence limejaa stori za vijiwe vya kahawa mtu anakwambi mwaka 2045 hii dunia itahama na kwenda mbinguni
its because raisi wao huwa hachaguliwi hivi hivi, kuamini eti trump alipata uraisi kwa bahati mbaya ni matumizi mabaya ya akili.......Yaani katika sehemu ambayo hua sipendi kuitabiria kaka uchaguzi wa US sababu hautabiriki mpaka yakishatoka matokeo
Yaani lolote linaweza tokea kiukweli tuupe tu muda nafasi yake
Ila napenda DT ashinde sio kama namuelewa ila kwasababu simuelewi[emoji23][emoji23][emoji23]
be careful with the US media, this time wameprove kwamba wanakua na agenda zao!DT anaogopa sanduku la kura kama tu kule akikosema ni 'shithole' ...
Inaonekana media zinampa chapuo JB.
US anything can happen any time!
mimi naamini chaguzi za US kuna majitu nyuma ya pazia ndio huamua flani atakua raisi,its because raisi wao huwa hachaguliwi hivi hivi, kuamini eti trump alipata uraisi kwa bahati mbaya ni matumizi mabaya ya akili.......
hebu jiulize, kama kweli democrats wanataka kushinda uchaguzi kwanini wanampa nafasi Joe Biden,? mtu ambae kiuhalisia % za kumshinda trump ni ndogo?
kwanini wasingeweka mgombea bora zaidi? mimi naamini chaguzi za US kuna majitu nyuma ya pazia ndio huamua flani atakua raisi,
huyo bolton anapenda vita sana, sio mara ya kwanz akufukuzwa, hata bush aliwahi kumfukuza, hakuna kipya hapa
Kwa hiyo wewe unaitolea Tanzania mfano kabisa?Sio swala la DT,Bolton alikuwa mshauri wa usalama wa Rais,means alikuwa na security clearance daraja la kwanza..Na aliapa kutunza siri za serikali hata atapokuwa nje ya serikali...Sasa kama hicho kitabu kinaenda tofauti na kiapo chake,we unafikiri ni sawa aruhusiwe tu kutoa??..
Halafu hujaambiwa kila kitu ujifunze marekani,unaweza chukua yanayokufaa kulingana na mazingira uliyopo,mengine ukapiga chini...
Iam sure hata TZ huruhusuwi kuchapisha kitabu chenge siri za serikali,ringht??>.
DT anaogopa sanduku la kura kama tu kule akikosema ni 'shithole' ...
Inaonekana media zinampa chapuo JB.
US anything can happen any time!