Habari hii inasikitisha kama c kuhuzunisha,milioni saba ni hela nyingi saana,nikijilinganisha na mimi ina maana huo ni mshahara wangu wa zaidi ya mwaka mmoja.Ebu twende vyuo vikuu,hawa watu ndo wanatoa wahitimu wa fani mbambali mbali,roughly,mshahara wa professor haufiki hata million 2.2M,akikatwa na makato hapo ndo tusiongee,ni nchi hii hii,angalia wasomi wanavyohangaika.Wasomi hao hao wengi wamekuwa wakitumia kuandaa speech za waHESHIMIWA.Ebu fikiria wakulima,kupata sh 100 kule vijijini ni shida,alfu tuseme tanzania ni maskini kweli? Na wale wenye vyeo zaidi ya kimoja je? Maana hiyo mililioni saba ni wale wasio na cheo chochote kule bungeni na sehemu nyingine pia. Lazima nijtajipanga kuwa mbunge cku moja,japo kwa sasa cna chama.
Vyama vya upinzani ,sawa tunashukuru kutuletea mada hii lakini wekeni msisitizo na nyie mjiuzulu ili tuone mlivyoserious,lakini kuongea tu na wakati mnaendelea kulipwa pia hilo halina maana,alafu kama c unafiki ni nini? cku zote mlikuwa wapi kwani mshshara wa wabunge toka uongezwe ni lini? Ebu tubadilishie nyimbo,twambieni mna mpango wa kuendesha nchi hii kivipi?
Suala la kuongea habari za mafisadi haziwezi kuiletea nchi maendeleo bila ya kuwa na mikakakti.Ina bidi mtwambie sera zenu ili tuzidi kuwaconvince wajumbe zaidi wa kujiunga na vyama vyenu.
Mjadili na mada mpya. Tutakuwa tunachambua c kwa story za kifisadi tu bali na mikakati mliyokuwa nayo ya kuleta maendeleo nchini.
Zidumu fikra za mwenyekiti.
Vyama vya upinzani ,sawa tunashukuru kutuletea mada hii lakini wekeni msisitizo na nyie mjiuzulu ili tuone mlivyoserious,lakini kuongea tu na wakati mnaendelea kulipwa pia hilo halina maana,alafu kama c unafiki ni nini? cku zote mlikuwa wapi kwani mshshara wa wabunge toka uongezwe ni lini? Ebu tubadilishie nyimbo,twambieni mna mpango wa kuendesha nchi hii kivipi?
Suala la kuongea habari za mafisadi haziwezi kuiletea nchi maendeleo bila ya kuwa na mikakakti.Ina bidi mtwambie sera zenu ili tuzidi kuwaconvince wajumbe zaidi wa kujiunga na vyama vyenu.
Mjadili na mada mpya. Tutakuwa tunachambua c kwa story za kifisadi tu bali na mikakati mliyokuwa nayo ya kuleta maendeleo nchini.
Zidumu fikra za mwenyekiti.