Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
Huu utakuwa ni uchaguzi wa kihistoria kwa Tanzania,mpinzani aliyepigwa risasi na Magoo-fool anaenda kushinda uchaguzi kwa haki!
Awamu hii tunachagua wanaopenda haki tuu na wanaujali utu.Wengine wajifunze haya Kwanza .Heche arudi darasani akafundishe
Muda wake wa ubunge umeisha
mpira kati, fair play, uwanja tambarare, refa siyo wetu wala siyo wao saa 4 asubuhi haifiki ccm chali kifo cha mende.CCM imeshakufa!
Kwani wewe ni lazima Kila Uzi lazima uchangie?Heche arudi darasani akafundishe
Muda wake wa ubunge umeisha
Heche anawkilisha. Huyo kamamda alishapita bila kupingwa
Wivu huo. Post za kwako tuone.Acha hasira umebakiza kupost picha za kutengeza,unadhani ndio zinapiga kura?
Mods wametembeza mkwaju tena pole sana mdauHeche arudi darasani akafundishe
Muda wake wa ubunge umeisha
Sijui chama changu kimejipangaje kuhakikisha kila kituo kinakuwa na wakala wetu? Nimemegewa na mpenzi wangu ambaye ni mgombea ubunge kwa ma-ccm anasema mbinu wanayopanga ni kuwazuia mawakala wa CHADEMA kuingia kwenye vituo vya kupigia kura! Alikuwaga vitu maalum sasa hivi anatafuta jimbo, tujipange!!Too late ! Tumewadhibiti kila kona
Nani huyo? Lijualibaridi?Waitara cha pombe anasemaje ? Muunga mkono juhudi mwenzie aliyemtukana mbowe yupo ndani mwezi mzima anaumwa maccm yamemtelekeza .