Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #41
AminaChadema imo mioyoni mwa Watanzania wanaojitambua. Pamoja na juhudi za yesu FAKE wa chato AKA dikteta za miaka mitano kuisambaratisha Chadema kwa kununua wabunge na madiwani, kuzuia mikutano mara nyingi, kuwashambulia viongozi na wanachama wa Chadema, kuwabambikia kesi FAKE wanachama na viongozi lakini Chadema bado IPO IPO sana tu.
Mwenyezi Mungu ibariki Chadema na wanachama wake wote pamoja na Viongozi kila kona Nchini 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Kwa historia hii nimeelewa kwanini unakua mlalamishi sana. Pole sana mkuu
Kwahiyo corona hamna tunakusanyika kama kawaida?Hiyo sare ya chadema haikuwepo wakati ule
Acha ushambenga wewe mtoto wakike nitashangaa kama nawe ni mwanammeSasa mbona mnalialia kwamba mnanyimwa nafasi za kujumuika?
Ebu acheni uongo basi!
Tenaa wazitumbue kweli kweliTumbueni ruzuku mwisho mwisho
Tulia Mkuu acha kurusha rusha miguuAcha ushambenga wewe mtoto wakike nitashangaa kama nawe ni mwanamme
Kwa hiyo picha za 2015 ndio mmeona mtaji wa propaganda za kitoto?View attachment 1490375
Huu ni mwaka wa uchaguzi na mnakumbuka kwamba tuliwahi kuonya kwamba kuiteketeza ccm inahitaji siku 7 tu , na hali ndio kama mnayoiona.
Bila Polisi ccm ni wepesi kuliko pamba .
Hiyo ni Jana...fuatilia bosiUnateseka sana na vipicha vya mwaka 2015 ili iweje?
labda kama ni mjinga , lakini ungekuwa na akili hata za kuvukia barabara ungeng'amua kwamba hiyo nguo aliyovaa Heche 2015 haikuwepoKwa hiyo picha za 2015 ndio mmeona mtaji wa propaganda za kitoto?
Kawadanganye walevi wa konyagi.labda kama ni mjinga , lakini ungekuwa na akili hata za kuvukia barabara ungeng'amua kwamba hiyo nguo aliyovaa Heche 2015 haikuwepo