Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
CCM na vyombo vya dola CHADEMA na Nguvu ya Umma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usijidanganye kwa vile mamaako ni mjumbe wa shina
wanachukuaje kwa hali hiyo ? kuna video hapo chini hebu angalia uoneNatamani CCM wachukue hilo jimbo. CDM hawana lolote bali kulalamika na kutafuta huruma kwa wananchi.
Ni kweli watakuwa wamesombwa na maloli kutoka nchi jirani.Natamani CCM wachukue hilo jimbo. CDM hawana lolote bali kulalamika na kutafuta huruma kwa wananchi.
Mungu wenu alisema awafiki 2020 kulikoni
Ccm tunalochukua this timeNatamani CCM wachukue hilo jimbo. CDM hawana lolote bali kulalamika na kutafuta huruma kwa wananchi.
Unataka nikwambie chadema inachukua ili ufurahi?haya chadema wanachukua sijui upumbazu huu mtaacha lini nyie yeyote mwenye mawazo tofauti na nyie nia adui. Sijawahi kuona watu wajinga kama nyie.labda kama umelogwa
Tunakushukuru sana kwa kuona mbaliHii kitu ya kuwazuia upinzani miaka 4 wasifanye mikutano ndiyo inawapa mzuka wa nguvu wananchi. Yaani wananchi wana kiu kubwa sana ya kuwasikia hawa magalacha wa upinzani. Kwanza wanataka kujua nini wanachokijua kuhusu Serikali ya Awamu ya 5 ambacho Magufuli anakiogopa.
Pili wana sumpathise sana kwa jinsi Awamu ya 5 ilivyowatesa, kwa hiyo kila mkutano watafunga nyomi sana.
Aliyemshauri Magufuli kusimamisha shughuli za vyama vya siasa hadi uchaguzi alikosea sana. Kama alifanya mwenyewe basi ALIKURIPUKA