Tetesi: John Heche kumrithi Freeman Mbowe Uenyekiti CHADEMA

Pumbavu kabisa
 
Mleta uzi acha upuuzi. Chama cha familia anapewaje mtu baki kama Heche? Hujui kuna James Mbowe na yule binti aliyejitokeza kwenye maandamano juzi? James na dada yake wakishindwa kuna John Mrema. Huyo Heche aendelee kuwa mwanaharakati kama mdude.
Wacha ukahaba
 
John Mrema kaoa toka ukoo wa akina Mbowe aisee
Na wewe umeolewa kwenye ukoo gani huko Uchagani? Maana tangu Mbowe akupige kibuti umeshindwa ku move on unamuwaza yeye tu utafikiri wewe ndiye mwanamke wa kwanza kutolewa usichana halafu mwanaume akuache.
 
Ngoja tuone hii ya Heche kama ni kweli
Ni chama kaanzisha mkwe wake Edwin Mtei, unataka aachie aende wapi? Hii akitoka yeye inakwenda kwa mwanaye Dudley. Hawa wengine wote kina Mnyika, Lissu, Martin, Lema ni cheerleaders tu
 
Siko Mbowe alipoitisha maandamano na kusema SAMIA MUST GO na baadae kujikuta Yuko peke yake na Vijana wa CHADEMA wakaanza kusema MBOWE MUST GO,

Naona Mbowe akiondoka kabla ya Rais Samia
MBOWE MAUST GO
 
Heche aje CCM tufanye kazi anakipaji kikubwa sana Cha uongozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…