John Heche: Mawakili waliogopa kututetea isipokuwa wachache wakiongozwa na Kibatala

John Heche: Mawakili waliogopa kututetea isipokuwa wachache wakiongozwa na Kibatala

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
4,016
Reaction score
6,759
"Watu wengi hawajui kwamba kwenye hii kesi tulipewa masharti mengi magumu bila sababu ikiwemo kuripoti central police Dar kila ijumaa. Yaani popote utakapokua hakikisha ijumaa uko Dar pia mawakili waliogopa kututetea isipokuwa wachache wakiongozwa na Kibatala."

John Heche Suguta
 
"Watu wengi hawajui kwamba kwenye hii kesi tulipewa masharti mengi magumu bila sababu.. ikiwemo kuripoti central police Dar Kila ijumaa. Yaani popote utakapokua hakikisha ijumaa uko Dar... pia mawakili waliogopa kututetea isipokuwa wachache wakiongozwa na Kibatala."
John Heche Suguta
Huyu Kibatala na Kundi Lake Mungu anawaona.
 
"Watu wengi hawajui kwamba kwenye hii kesi tulipewa masharti mengi magumu bila sababu ikiwemo kuripoti central police Dar kila ijumaa. Yaani popote utakapokua hakikisha ijumaa uko Dar pia mawakili waliogopa kututetea isipokuwa wachache wakiongozwa na Kibatala."

John Heche Suguta
Tutajie wakili mmoja aliye wakataa, hiyo ni unethical kabisa, lete jina hata inbox tupelekee advocates comitee.
 
Back
Top Bottom