John Heche mwenyekiti mpya BAVICHA taifa

John Heche mwenyekiti mpya BAVICHA taifa

Mkuu hujajibu hoja ya mkandara kabisaaaa umejikanyaga kanyaga tuuuu
Hata hivyo wito wangu kwa Mtema awe makini na mitandao ya kijamii kama hii, hapa si mahala pa kukurupuka na kuanza kuweka comments zaako za ajabu ajabu, ashukuru mods walimuokoa maana alisha chemka mbaya,
Iga mfano wa wenzako akina kitila mkumbo, zitto huwezi kuta wanakuja na hoja dhaifu dhaifu hapa

..wala hatuko hapa kuiga namna ya vile mtu mwingine anasema! waige wewe vile unapenda kuiga iga, but mtu yuko huru kusema anachoona ni sawa bila kutukana mwingine yeyote! hoja hapa ni contents ya kile kinachotamkwa kwa nini kinamkera mtu mwingine! hivi mtu akitaja Yesu au hata shetani does it mean amekuabudisha anachoamini..? kwa nini inakukera..?

Mh Mtema yuko makini! uwe makini wewe unayeokota maneno kwa kutoa tafsiri yako huku ukitaka kusemea wengine! na kama ni hoja dhaifu wewe inakukera nini sasa..!

Mwache Mh ataje jina la yeyote anayemuamini ni msaada kwake! nawewe taja tu ukitaka hata hayo majini yanayokulinda! hakuna tatizo haya ni mambo binafsi!
 
..wala hatuko hapa kuiga namna ya vile mtu mwingine anasema! waige wewe vile unapenda kuiga iga, but mtu yuko huru kusema anachoona ni sawa bila kutukana mwingine yeyote! hoja hapa ni contents ya kile kinachotamkwa kwa nini kinamkera mtu mwingine! hivi mtu akitaja Yesu au hata shetani does it mean amekuabudisha anachoamini..? kwa nini inakukera..?

Mh Mtema yuko makini! uwe makini wewe unayeokota maneno kwa kutoa tafsiri yako huku ukitaka kusemea wengine! na kama ni hoja dhaifu wewe inakukera nini sasa..!

Mwache Mh ataje jina la yeyote anayemuamini ni msaada kwake! nawewe taja tu ukitaka hata hayo majini yanayokulinda! hakuna tatizo haya ni mambo binafsi!

Wewe ni mgumu kuelewa! Kurudia point hiyo hiyo mara nyingi hakuifanyi hiyo point kuwa strong!
Alichokutahadharisha Mkandara ni kuwa, Chama cha siasa ni mkusanyiko wa watu wenye dini mbalimbali kama ilivyo nchi.
Kuinasibisha chama ni "mungu" fulani kama Yesu au imani fulani, unawakera wale wasiokuwa wa imani ile ndani ya chama!.
Kumbuka Regia ni Mbunge, hivyo kauli yake inaweza kuchukuliwa kama ndio msimamo wa chama. Unadhani ukisema chadema inalindwa na Yesu Prof. Safari anajisikiaje? Kumbuka kusema Yesu ni "mungu" ni kufutu kwa Prof. Safari>

Viongozi wanaweza wakawa na imani zao zozote zile lakini wasi-link hizo imani na chama!
Kwa kauli zako hizi unawasaidia wale wanaosema Chadema ni chama cha kikristo!
 
Wewe ni mgumu kuelewa! Kurudia point hiyo hiyo mara nyingi hakuifanyi hiyo point kuwa strong!
Alichokutahadharisha Mkandara ni kuwa, Chama cha siasa ni mkusanyiko wa watu wenye dini mbalimbali kama ilivyo nchi.
Kuinasibisha chama ni "mungu" fulani kama Yesu au imani fulani, unawakera wale wasiokuwa wa imani ile ndani ya chama!.
Kumbuka Regia ni Mbunge, hivyo kauli yake inaweza kuchukuliwa kama ndio msimamo wa chama. Unadhani ukisema chadema inalindwa na Yesu Prof. Safari anajisikiaje? Kumbuka kusema Yesu ni "mungu" ni kufutu kwa Prof. Safari>

Viongozi wanaweza wakawa na imani zao zozote zile lakini wasi-link hizo imani na chama!
Kwa kauli zako hizi unawasaidia wale wanaosema Chadema ni chama cha kikristo!

.. kwanini wewe unasemea wengine? jisemee wewe km inakukera, Mh Regia anamshukuru Mungu wake kwa kile kilichotendeka, mbona wapo watu hawaamini kuwa kuna Mungu lakini wanaheshimu imani za wale wanaoamini kuna Mungu..? hatujasikia wakilalamika kwa nini watu wanataja Mungu!
Jambo hapa ni kwa nini inamkera mtu kutaja jina tu?
 
Wewe ni mgumu kuelewa! Kurudia point hiyo hiyo mara nyingi hakuifanyi hiyo point kuwa strong!
Alichokutahadharisha Mkandara ni kuwa, Chama cha siasa ni mkusanyiko wa watu wenye dini mbalimbali kama ilivyo nchi.
Kuinasibisha chama ni "mungu" fulani kama Yesu au imani fulani, unawakera wale wasiokuwa wa imani ile ndani ya chama!.
Kumbuka Regia ni Mbunge, hivyo kauli yake inaweza kuchukuliwa kama ndio msimamo wa chama. Unadhani ukisema chadema inalindwa na Yesu Prof. Safari anajisikiaje? Kumbuka kusema Yesu ni "mungu" ni kufutu kwa Prof. Safari>

Viongozi wanaweza wakawa na imani zao zozote zile lakini wasi-link hizo imani na chama!
Kwa kauli zako hizi unawasaidia wale wanaosema Chadema ni chama cha kikristo!

..kati ya mambo mengi mazuri ambayo imani zetu zinatufundisha ni kuvumilia wengine! be it kwa maneno, vitendo nk km jina la Mungu tu likitajwa inakukera kwanini unaingia siasa..? kaa mbali basi, kama kinachotajwa ni kwa nia njema wala si kuua, kwa nini unakerwa..?
kwenye chama cha siasa watu hutofautiana kwa mambo mengi, muhimu hapa ni kuheshimu mipaka ya wengine..
 
Wewe ni mgumu kuelewa! Kurudia point hiyo hiyo mara nyingi hakuifanyi hiyo point kuwa strong!
Alichokutahadharisha Mkandara ni kuwa, Chama cha siasa ni mkusanyiko wa watu wenye dini mbalimbali kama ilivyo nchi.
Kuinasibisha chama ni "mungu" fulani kama Yesu au imani fulani, unawakera wale wasiokuwa wa imani ile ndani ya chama!.
Kumbuka Regia ni Mbunge, hivyo kauli yake inaweza kuchukuliwa kama ndio msimamo wa chama. Unadhani ukisema chadema inalindwa na Yesu Prof. Safari anajisikiaje? Kumbuka kusema Yesu ni "mungu" ni kufutu kwa Prof. Safari>

Viongozi wanaweza wakawa na imani zao zozote zile lakini wasi-link hizo imani na chama!
Kwa kauli zako hizi unawasaidia wale wanaosema Chadema ni chama cha kikristo!

..napenda kutoa angalizo kwa chadema, ni bora kuwa na wanachama wachache wanaoamini ktk misingi ya kuheshimiana na kutofautiana ktk mambo ya kuwatumikia watu na si kuwa na kundi kubwa la wanachama wanaokuza tofauti zisizoleta tija kwa kuwatumikia wananchi km hizi za kusema eti anakerwa pale mtu au kiongozi anapoeleza hisia za kile anachoamini...hawa si wanachama better leave them go!
ccm wamefika hapo walipo kwa case za namna hii, kutaka kuplease watu kwa agenda za kijinga kwa misingi ya tofauti za kiimani!
Kama dhamira zenu ni njema zinalenga kuwatumikia watu wote wa nchi hii, yule mnaemwamini hana muda wa kusikia kelele za watu walioamua wenyewe kuwa wajinga! atawapa fursa kubwa zaidi ya kutumikia wananchi hata kama ni chama chenye wanachama wachache! Mungu akiamua hakuna anayeweza kupinga hata akeshe na kuoga majivu eti mna udini kwa vile tu mnamtaja yule mnayemwamini na kumtegemea!
Siasa ni imani ndio maana vyama vinakuja na mipango hata ya miaka 20, ni vile tu wanaamini pamoja kuwa yupo atakaewapa afya, uhai, nguvu, akili, maarifa nk ya kutimiza hayo wanayopanga! sasa kwa nini unapofanikiwa jambo moja au mawili usieleze hisia zako kuacknoweldge huyo aliyekuwezesha kufika hapo..?
 
Mbona Heche huyohuyo ndio analalamikiwa na wana CHADEMA kwa kuchangia kwa kiasi kikubwa kulipoteza jimbo la Tarime kwa CCM,na wengine wanadiriki kusema kwamba kuchaguliwa kwake kutapelekea jimbo la Tarime liendelee kushikiliwa na CCM mwaka 2015?.....

Wape hongera wajumbe wa BAVICHA walioshiriki na kufanya uchaguzi badala ya hao wazee wa CHADEMA na Viongozi wa CHADEMA,kuwapa hongera hao wazee na viongozi kutawafanya baadhi ya watu wahisi kwamba John Heche kachaguliwa na wazee wa CHADEMA na viongozi wa CHADEMA kitu ambacho si kweli...

Mwisho naomba kumpongeza sana John Heche kwa kuchaguliwa,cha msingi apewe tu ushirikiano,ni kiongozi mzuri sana huyu.

Sidhani kama tuhuma zote ni za kweli.
 
hongera zake kijana, tuliyaona mambo yake akiwa diwani, sasa tunategemea makubwa kutoka kwake.
 
[QUOTE=Mkandara;2038256]Mkuu samahani nilikuwa nimetoka ktk ukumbi huu kwa muda..Sijui kama nimekukwaza. Naam umeisema tafsiri ya Udini vizuri tu kama unavyoelewa wewe ingawa sii sahihi...sasa nikuulize ninapotumia maneno ya kiimani ya dini ktk siasa na hukubaliani nayo Je, huo ni Udini pia?.. nilichosema mimi ni kwamba tusipende sana kutumia imani za dini ktk siasa zinaweza kuharibu mchuzi mzima, kwani alichosema Regia mimi sikubaliani nacho na sidhani kama ni Udini iwe yeye alosema au mimi nisiyekubaliana naye..
Kweli unaweza tumia neno Mungu walati wowote lakini unapompa Mungu mkono juu ya Chama hali mimi sikubaliani na mawazo hayo ni sawa na kutokubaliana kisiasa...
Labda nikujuze kwa kutumia dini zenyewe ingawa haikuwa nia yangu kabisa kwa nini sipendi matumizi ya aya za dini ktk mihadhara ya kisiasa. Kwa mfano Mkristu anapoomba kwa jina la Yesu, hii ni kufuru kwa Waislaam kwa sababu anayeombwa ni Mungu tu na Jesus sii Mungu..Utanisamehe sana kuandika haya lakini hii ndio imani ya Waislaam na wanaposikia maneno kama haya unawaweka ktk wakati mgumu sana kukubaliana nawe hivyo kuharibu kabisa maombi yote! Vivyo hivyo kwa Mkristu, Muislaam anaposema lolote linalohusiana na Muhammad, mkristu hamuelewi isipokuwa anafumba macho na kuweka heshima ya imani ya waislaam ambayo kisiasa inaweza kupingana kabisa na neno la Mungu (biblia).

Kwa hiyo nachosema mimi, tujaribu sana kuyaweka mabo haya nje ya siasa na wala sio Udini isipokuwa kujihadhari na hapa tulipofikia kwani Udini umekuwa adui mwingine wa umaskini wa Mtanzania. Napinga kauli za kiimani zisitumike kisiasa, ila zitumike ktk mazingira ya maisha yetu kama ilivyokuwa zamani. Iwe ktk harusi, misiba, sala za chakula na kadhalika kuliko kutumiwa na viongozi wetu kisiasa ktk kuelezea matukio ya kisiasa..Na kilichotangulia mimi kusema haya ni kutokana na statement ya bibie ambayo mimi sikubaliani nayo kwamba mkono wa Mungu upo Chadema na kawanusuru kutokana na watu waliokuwa na nia mbaya..Je, hawa ni kina nani na wanalindwa na nani kama sii Mungu huyo huyo!...[/QUOTE]



".........Naam umeisema tafsiri ya Udini vizuri tu kama unavyoelewa wewe ingawa sii sahihi...sasa nikuulize ninapotumia maneno ya kiimani ya dini ktk siasa na hukubaliani nayo Je, huo ni Udini pia?....................................................."

Duh! Niliitamani tafasiri sahii lakini basi tu...pengine bado unatafuta!

By the way, Mkuu hivi huwa unaelewa unachokiandika au huwa unachapa tu?

Post#131 - Yawezekana kabisa ndivyo ulivyofundishwa nyumbani lakini kama walivyosema wengine hapo nyuma. jaribu sana kuepuka kutumia dini ktk Siasa, wajinga wengi hawatakuelewa kwani kama walivyosema Mungu wako anaweza kuwa shetani kwao!. Kwa tafsiri ile ile ulotumia kumaanisha kwamba - Vyama vingine havina mkono wa Mungu isipokuwa Chadema!

- Umesema wajinga wengi hawatakuelewa.....! Sasa mjinga na wengine si ndo tunakuelimisha mzee na wewe umeng'ang'ana tuuu mara kanisa mara ya kichungaji mara hautaki Mungu kutajwa, hata waislamu tunayatumaia haya maneno lakini sijakuona ukitaja msikiti, imam n.k kadhalika hapo ndipo unapojibainisha wazi kuwa una hisia na mtazamo wa udini. Regia hajasema uislam, wala ukristo wala kanisa wala Quran wala Biblia wala msikiti. Ila wewe ndo umeleta habari hizo wala hatujui wewe umezisoma wapi, Pengine Regia hana Dini au na sisi hatujui kama ni wa kanisani au kwa mchungaji ila tumesikia tu kutoka kwako. Ungeeleweka kama ungeuliza kwa Regia kabla ya kumshambulia. Unajichanganya sana!!

Post#131 - kufungua mikutano wakisema Asalaam Aleikum, kisha - Bwana Asifiwe ni mwanzo wa kuleta Dini ktk siasa kwani mnajiweka ktk imani mbili za dini.

- Kivipi?

Post#131 - Jamani wengine tunaamini Mungu na matumizi yake yasitumiwe ovyo ovyo hata pale mnapotoa ahadi za uongo ama hamna hakika na myasemayo. Kuendesha hotuba za kisiasa kwa kuzitumia dini zetu ni makosa makubwa sana na inajenga Udini kwani kama utaongopa ili hali umeanza kwa kumsifia Mwenyezi Mungu -haya ni matusi makubwa wa waumini wa dini hiyo...
Siasa zibakie siasa na maswala ya Mungu yapelekwe huko Makanisani na misikitini..

Note: Na kanisani na Miskitini wanasema uongo pia tena kwenye mimbari au madhabahun kwa hiyo tusiseme Mungu hata huko pia kama hicho ni kigezo

Note: ".........Kuendesha hotuba za kisiasa kwa kuzitumia dini zetu ni makosa makubwa sana na inajenga Udini..........". Du!! Hapa inabidi tuliombe baraza la Kiswahili kututafusria haya maneno kwamba haya ongelei udini!! .......May be written by your ghost and not by you!!

Ndio maana nasema hauelewi nini unakuwa unaandika mkuu.

Post#140 .......kwani inanitatiza sana kuelewa ikiwa sintotumia msahafu wa imani ya dini..

Note: Hakuna msahafu unaosema

".......lakini kwakuwa chama hiki kina mkono wa MUNGU,MUNGU alitumia njia zake za asili kuwang'amua waliokuwa na nia mbaya........"

Haya ni maneno aliyoyatumia Regia kumshukuru Mwenyezi Mungu si ya msahafu

Post#171 ..Haya ni maneno ya kichungaji na yanaweza kabisa kuchukuliwa kama ni kufungamana na kanisa..

Note: ...........ya kichungaji na yanaweza kabisa kuchukuliwa kama ni kufungamana na kanisa.....

Ya kiimam na Kishehe ya koje na ya kufungamana na Msikiti yakoje, au yanataja Shetani na si Mungu? Wapi Regia kaongelea habari za uchungaji au ukanisa kama sio kupumbaza fikra zako??


".........nilichosema mimi ni kwamba tusipende sana kutumia imani za dini ktk siasa zinaweza kuharibu mchuzi mzima, kwani alichosema Regia mimi sikubaliani nacho na sidhani kama....................................................."

Note: Regia ametumia imani za dini zipi, kwa kusema .........Mungu..........? au ukisema Mungu maanake ni dini fulani, na ni ipi hiyo dini inayoitwa Mungu?

".........Mungu..Utanisamehe sana kuandika haya lakini hii ndio imani ya Waislaam na wanaposikia maneno kama haya unawaweka ktk wakati mgumu sana kukubaliana nawe hivyo kuharibu kabisa maombi yote! Vivyo hivyo kwa Mkristu, Muislaam anaposema lolote linalohusiana na Muhammad, mkristu hamuelewi isipokuwa anafumba macho na kuweka heshima ya imani ya waislaam ambayo kisiasa inaweza kupingana kabisa na neno la Mungu (biblia)......................................................"

Note: Regia kayasema wapi haya unayosema wewe kama sio kukuza tu hisia zako za udini? Wapi kasema habari za ukristu au uislam au ubudha au upagani - haya ni ya kwako endelea tu kubeba zigo la mawazo mwishowe litakuangusha, ila nakushauri uyaache hayana tija mkuu haya!!

".........zitumike ktk mazingira ya maisha yetu kama ilivyokuwa zamani......................................................"

Note: Siasa (Uongozi) ni mazingira ya akina nani au huko (kwenye siasa) anayetakiwa kusemwa ni Shetani? "...zamani..." lini? Maana Afrika au Tanzania ya mwanzo haikuwa na ukristu au uislam au hizo dini zingine lakini Mungu aliabudiwa na kutajwa katika makabila yote kwa namna mbalimbali na katika Lugah zao tofauti tofauti. Au unamaanisha ZAMANI KABLA YA ADAM NA HAWA, kama hivyo hapo sawa.

Hayo hayana tija sana nakuachia wewe!!

HABARI KUU NI HONGERA J. HECHE NA KILA LA HERI!!

".........mimi sikubaliani nayo kwamba mkono wa Mungu upo Chadema na kawanusuru kutokana na watu waliokuwa na nia mbaya....................................................."

Note: Unakubaliana na nini kwamba mkono wa shetani au?
 
Glory and honour be unto our God almighty!

Mimi huyo Heche hata sura siifahamu na wala sijawahi bahatika kusoma post yake hata moja hapa JF kwa jina lake. Lakini as a preacher nataka kuwaambia kwamba wakati mwingine tuelewe kuwa if the favour of God is not on your side there is nothing you can do to get whatver you want to. Utashangaa unaweza kuwa na uwezo; unapendwa na una kila sababu ya kupata nafasi lakini mazingira yanakataa. Mine choice was Ben Saanane nimekuwa nikifuatilia sana post zake hapa JF na kwakweli nilitokea kumkubali kwani alionyesha kwangu anaweza akawa kiongozi. Wagombea wengine siwafahamu kabisa na pengine wako hapo kwa ID za tofauti so let us agree kuwa '...maandalizi ya moyo ni kazi ya mwanadamu lakini jawabu la toka kwa Mungu....'

Wagombea wote please mpeni ushirikiano Heche kwani as a Prince and an evangelist nawausia kuwa his time has come na Mungu ameruhusu yeye kuwa mwenyekiti. Mkimpa ushirikiano you are humbling yourself into Godly decision na pengine kwenu ninyi this is your training (in christianity we call 'safari ya jangwani kuelekea nchi ya ahadi; Your destiny') time to go to other levels.

The way God works is whoever humbles him/herself the order is s/he should be exaulted. Mkienda against some of you are going to delay your success! This is my wor to you as a preacher and a prince; ukitaka you can take my words ukiona ni upuuzi yenyewe yatabaki yenye nguvu na mwisho wa siku penda usipenda utayakuta yanakusubiri kuku kumbusha that I once adviced you! Best wishes to all contenders....Prince Ame in the Kingdom of Heaven!

Leo natafakari ahadi za Mungu.....wakati wenzetu wanakimbizana kutengeneza mambo wengine tulishamaliza homework yetu.....Duuh if they would have known why and how Heche was elected.....Acheni Mungu aitwe Mungu!
 
Back
Top Bottom