johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Jeshi la wakurya lipo nyuma yao haoMjumbe wa Kamati kuu ya Chadema mh John Heche.amesema Wameshaingia Chato na sasa wanafanya mkutano wao wa kwanza
Heche amesema Watagonga Mikutano mingine minne na hawaogopi chochote wako ngangari kinoma
Kama Lisu,mbona ipo wazi hiyolisu kaenda kama nani... asiwatafutie balaa watu wa chato
We Pasuka kabisaa mbombo ngafu kama humpendi Lissu jipange kisaikolojia yaani una ubaguzi zaidi ya Shetani sasa ulitaka aende kama nani Ili uridhike? Sasa chukulia kuwa alienda kama baba Yako wa KAMBOlisu kaenda kama nani... asiwatafutie balaa watu wa chato
Ashumu kaenda kama mmeo, unataka kusema nini sasa?.lisu kaenda kama nani... asiwatafutie balaa watu wa chato
Umempiga na kitu kizitoAshumu kaenda kama mmeo, unataka kusema nini sasa?.
lisu kaenda kama nani... asiwatafutie balaa watu wa chato
Husna Amri Said atakuwepo?Mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema mh John Heche.amesema Wameshaingia Chato na sasa wanafanya mkutano wao wa kwanza
Heche amesema Watagonga Mikutano mingine minne na hawaogopi chochote wako ngangari kinoma
Yupo!Husna Amri Said atakuwepo?
Amandla...
Ukiona vipi kufa tu🤣🤣lisu kaenda kama nani... asiwatafutie balaa watu wa chato