Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Wajiandae na uchaguzi ili iweje?NI UPUMBAVU WA HALI YA JUU SANA HUO BADALA YA KUWAANDAA WANACHAMA WENU NA KUJIANDAA KWA UCHAGUZI MNAONA HIYO YA KUZUIA UCHAGUZI INAWEZEKANA? WHO ARE YOU BY THE WAY? KATIKA NCHI HII? SEMENI KUWA HAMJAJIANDAA KWA UCHAGUZI HIVYO HIZO NI SABABU TU KWANZA HAMNA HELA
Nchi nyingi zimeingizwa na migogoro ya kisiasa na viongozi wabishi.Pana njia
Ila njia ngumu kwa kushindana na utawala wenye kuhodhi kila kitu
Unataka Chadema ishiriki uchaguzi mbovu ili iweje?NI UPUMBAVU WA HALI YA JUU SANA HUO BADALA YA KUWAANDAA WANACHAMA WENU NA KUJIANDAA KWA UCHAGUZI MNAONA HIYO YA KUZUIA UCHAGUZI INAWEZEKANA? WHO ARE YOU BY THE WAY? KATIKA NCHI HII? SEMENI KUWA HAMJAJIANDAA KWA UCHAGUZI HIVYO HIZO NI SABABU TU KWANZA HAMNA HELA
Ni shida🤣Pana njia
Ila njia ngumu kwa kushindana na utawala wenye kuhodhi kila kitu
kwa hiyo kama uchaguzi hautafanyika, hasara kwa nani sasa? manake Samia ataendelea kuwa Rais wao kwa miaka mingine kadhaa bila kuchaguliwa hadi uchaguzi uje ufanyike. Samia hapo anatikisa tu mkia wala haathiriki na chochote, ndio kwanza mmemsaidia aendelee kuwatawala.Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche akizungumza kupitia East Africa Radio leo Feb 27, amesema;
"Katika mazingira yaliyopo hatutashiriki na uchaguzi hautafanyika, tumeamua kuhakikisha kwamba uchaguzi haufanyiki"
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Mungu Mbariki HecheKONGOLE HECHE!
Wanaoshiriki uchaguzi ni wao, wanaokabiliana na dhuruma za uchaguzi ni wao, wanaojua hata uchaguzi ukifanyika leo kwa sheria za uchaguzi zilizopo watadhurumiwa ni wao.NI UPUMBAVU WA HALI YA JUU SANA HUO BADALA YA KUWAANDAA WANACHAMA WENU NA KUJIANDAA KWA UCHAGUZI MNAONA HIYO YA KUZUIA UCHAGUZI INAWEZEKANA? WHO ARE YOU BY THE WAY? KATIKA NCHI HII? SEMENI KUWA HAMJAJIANDAA KWA UCHAGUZI HIVYO HIZO NI SABABU TU KWANZA HAMNA HELA
Kabisa mkuu.Ni shida🤣
Kujiandaa na uchaguzi wa wizi?Hakuna uchaguzi mpaka wezi wote wamulikwe na kuondolewaNI UPUMBAVU WA HALI YA JUU SANA HUO BADALA YA KUWAANDAA WANACHAMA WENU NA KUJIANDAA KWA UCHAGUZI MNAONA HIYO YA KUZUIA UCHAGUZI INAWEZEKANA? WHO ARE YOU BY THE WAY? KATIKA NCHI HII? SEMENI KUWA HAMJAJIANDAA KWA UCHAGUZI HIVYO HIZO NI SABABU TU KWANZA HAMNA HELA
Mtawala mpk ajambePana njia
Ila njia ngumu kwa kushindana na utawala wenye kuhodhi kila kitu
Gentleman,Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche akizungumza kupitia East Africa Radio leo Feb 27, amesema;
"Katika mazingira yaliyopo hatutashiriki na uchaguzi hautafanyika, tumeamua kuhakikisha kwamba uchaguzi haufanyiki"
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Ngumu sana mkuu.Mtawala mpk ajambe
Kwahyo unataka waingie ktk uchaguzi ili waibiwe kula kama ilivyokuwa ktk uchaguzi uliopita sio"ujinga ni wakati wa kwenda tu"NI UPUMBAVU WA HALI YA JUU SANA HUO BADALA YA KUWAANDAA WANACHAMA WENU NA KUJIANDAA KWA UCHAGUZI MNAONA HIYO YA KUZUIA UCHAGUZI INAWEZEKANA? WHO ARE YOU BY THE WAY? KATIKA NCHI HII? SEMENI KUWA HAMJAJIANDAA KWA UCHAGUZI HIVYO HIZO NI SABABU TU KWANZA HAMNA HELA
MBowe alisema hivi hiviMakamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche akizungumza kupitia East Africa Radio leo Feb 27, amesema;
"Katika mazingira yaliyopo hatutashiriki na uchaguzi hautafanyika, tumeamua kuhakikisha kwamba uchaguzi haufanyiki"
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Hela ya kuendesha shughuli za kila siku za chama hawana, sasa wanatembeza bakuli hawawezi kushiriki uçhaguzi acha wakae pembeni wawaache wenye uwezo.Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche akizungumza kupitia East Africa Radio leo Feb 27, amesema;
"Katika mazingira yaliyopo hatutashiriki na uchaguzi hautafanyika, tumeamua kuhakikisha kwamba uchaguzi haufanyiki"
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Kwenye uçhaguzi hakuna kula. Njaa zenu mnawaza kula tuu.Kwahyo unataka waingie ktk uchaguzi ili waibiwe kula kama ilivyokuwa ktk uchaguzi uliopita sio"ujinga ni wakati wa kwenda tu"