Pre GE2025 John Heche: Tumeamua kuhakikisha kwamba uchaguzi haufanyiki. Tutawashirikisha Viongozi wa dini, mashirika ya kimataifa, balozi na NGO's

Pre GE2025 John Heche: Tumeamua kuhakikisha kwamba uchaguzi haufanyiki. Tutawashirikisha Viongozi wa dini, mashirika ya kimataifa, balozi na NGO's

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
NI UPUMBAVU WA HALI YA JUU SANA HUO BADALA YA KUWAANDAA WANACHAMA WENU NA KUJIANDAA KWA UCHAGUZI MNAONA HIYO YA KUZUIA UCHAGUZI INAWEZEKANA? WHO ARE YOU BY THE WAY? KATIKA NCHI HII? SEMENI KUWA HAMJAJIANDAA KWA UCHAGUZI HIVYO HIZO NI SABABU TU KWANZA HAMNA HELA
Wajiandae na uchaguzi ili iweje?
 
Hiyo ni agenda ya mfukoni ya mwenyekiti. Na ndio maana wanachadema hawaielewi wapo wanatoa macho
 
NI UPUMBAVU WA HALI YA JUU SANA HUO BADALA YA KUWAANDAA WANACHAMA WENU NA KUJIANDAA KWA UCHAGUZI MNAONA HIYO YA KUZUIA UCHAGUZI INAWEZEKANA? WHO ARE YOU BY THE WAY? KATIKA NCHI HII? SEMENI KUWA HAMJAJIANDAA KWA UCHAGUZI HIVYO HIZO NI SABABU TU KWANZA HAMNA HELA
Unataka Chadema ishiriki uchaguzi mbovu ili iweje?
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche akizungumza kupitia East Africa Radio leo Feb 27, amesema;

"Katika mazingira yaliyopo hatutashiriki na uchaguzi hautafanyika, tumeamua kuhakikisha kwamba uchaguzi haufanyiki"

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

kwa hiyo kama uchaguzi hautafanyika, hasara kwa nani sasa? manake Samia ataendelea kuwa Rais wao kwa miaka mingine kadhaa bila kuchaguliwa hadi uchaguzi uje ufanyike. Samia hapo anatikisa tu mkia wala haathiriki na chochote, ndio kwanza mmemsaidia aendelee kuwatawala.

ninachowashauri, tufanye tu uchaguzi kwa sababu kitu pekee chadema watakipata sio urais, ila wabunge wengi sana watakaokuwa na influence na pia watakuwa na ruzuku ya kutosha. wapiganie ruzuku tu hapo sio kuchukua nchi. sasa wakisema hawafanyi kabisa uchaguzi nataka kuamini wamepewa sukari ili kumsaidia maza aendelee kuwepo madarakani bila kuchaguliwa.
 
NI UPUMBAVU WA HALI YA JUU SANA HUO BADALA YA KUWAANDAA WANACHAMA WENU NA KUJIANDAA KWA UCHAGUZI MNAONA HIYO YA KUZUIA UCHAGUZI INAWEZEKANA? WHO ARE YOU BY THE WAY? KATIKA NCHI HII? SEMENI KUWA HAMJAJIANDAA KWA UCHAGUZI HIVYO HIZO NI SABABU TU KWANZA HAMNA HELA
Wanaoshiriki uchaguzi ni wao, wanaokabiliana na dhuruma za uchaguzi ni wao, wanaojua hata uchaguzi ukifanyika leo kwa sheria za uchaguzi zilizopo watadhurumiwa ni wao.
Unayewaona wapumbavu! Nadhani wewe ndiye mpumbavu kuliko wao.
Waache wapinganie wanachoamini na uzuri wanaosimamia sheria hizo wanasema ni kweli lakini muda hautoshi.
Kama ungekuwa siyo mpumbavu ungewashauri hao unaowaona siyo wapumbavu wawasikilize malalamiko yao
 
NI UPUMBAVU WA HALI YA JUU SANA HUO BADALA YA KUWAANDAA WANACHAMA WENU NA KUJIANDAA KWA UCHAGUZI MNAONA HIYO YA KUZUIA UCHAGUZI INAWEZEKANA? WHO ARE YOU BY THE WAY? KATIKA NCHI HII? SEMENI KUWA HAMJAJIANDAA KWA UCHAGUZI HIVYO HIZO NI SABABU TU KWANZA HAMNA HELA
Kujiandaa na uchaguzi wa wizi?Hakuna uchaguzi mpaka wezi wote wamulikwe na kuondolewa
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche akizungumza kupitia East Africa Radio leo Feb 27, amesema;

"Katika mazingira yaliyopo hatutashiriki na uchaguzi hautafanyika, tumeamua kuhakikisha kwamba uchaguzi haufanyiki"

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Gentleman,
utapeli wa kisiasa ukifanywa na vibaka wa kisiasa hua unafanyika kihivyo sana,

kwahivyo viongozi wa dini, mabalozi, NGO's na mashirika ya kimataifa ndiyo yanapiga kura?

kwamba hao ndio wanaweza kuvunja katiba pasiwepo na uchaguzi?🤣

ndezi sana dah 🐒
 
Shida ya Chadema ni kama wanadhani chama ni wao tu hawajui CCM wanawaza mbele yao, wanaweza kugomea haki yao ila hawawezi kuzuia na wajue kuna vyama vingi vya kwenye mabegi watashiriki na machoni wataonekana wameshiriki. Kununa wala sio issue ila kuzuia uchaguzi wataishia sehemu mbaya tu sheria zipo na wala hakuna atakayekuja kuwaokoa. Nadhani wangetafuta viti vingi bungeni ila walete upinzani mkubwa kisheria, shida yao wanaota wachukue nchi kirahisi hivi, bado mfumo unaibeba sana CCM huwezi kupindua meza tu kama uko Bar.
 
NI UPUMBAVU WA HALI YA JUU SANA HUO BADALA YA KUWAANDAA WANACHAMA WENU NA KUJIANDAA KWA UCHAGUZI MNAONA HIYO YA KUZUIA UCHAGUZI INAWEZEKANA? WHO ARE YOU BY THE WAY? KATIKA NCHI HII? SEMENI KUWA HAMJAJIANDAA KWA UCHAGUZI HIVYO HIZO NI SABABU TU KWANZA HAMNA HELA
Kwahyo unataka waingie ktk uchaguzi ili waibiwe kula kama ilivyokuwa ktk uchaguzi uliopita sio"ujinga ni wakati wa kwenda tu"
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche akizungumza kupitia East Africa Radio leo Feb 27, amesema;

"Katika mazingira yaliyopo hatutashiriki na uchaguzi hautafanyika, tumeamua kuhakikisha kwamba uchaguzi haufanyiki"

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

MBowe alisema hivi hivi

Akaonjeshwa. Pesa za billicanas akagusa kale kanakopokelewa kila mwezi aka ruxuku

Huyoooo yumoo SERKL za mitaa mkaishia kuaibika kila konaaaa

Sijui wewe unawahahakikishiaje watanzania hutobadili haya maneno kama MJOMBA aikael
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche akizungumza kupitia East Africa Radio leo Feb 27, amesema;

"Katika mazingira yaliyopo hatutashiriki na uchaguzi hautafanyika, tumeamua kuhakikisha kwamba uchaguzi haufanyiki"

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Hela ya kuendesha shughuli za kila siku za chama hawana, sasa wanatembeza bakuli hawawezi kushiriki uçhaguzi acha wakae pembeni wawaache wenye uwezo.
 
Back
Top Bottom