Shida ya Chadema ni kama wanadhani chama ni wao tu hawajui CCM wanawaza mbele yao, wanaweza kugomea haki yao ila hawawezi kuzuia na wajue kuna vyama vingi vya kwenye mabegi watashiriki na machoni wataonekana wameshiriki. Kununa wala sio issue ila kuzuia uchaguzi wataishia sehemu mbaya tu sheria zipo na wala hakuna atakayekuja kuwaokoa. Nadhani wangetafuta viti vingi bungeni ila walete upinzani mkubwa kisheria, shida yao wanaota wachukue nchi kirahisi hivi, bado mfumo unaibeba sana CCM huwezi kupindua meza tu kama uko Bar.