Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,015
- 10,269
Ushahidi kuwa wameomba umeuonaHaya njoo wewe sasa utuambie wamefanyaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushahidi kuwa wameomba umeuonaHaya njoo wewe sasa utuambie wamefanyaje?
Wewe ndiye huna "akili"...Inaonekana huna akili kabisa na huijui nchi yako vizuri
Ndio tinakuomba ulete ushahidi hapa ili kupinga hoja ya mleta Uzi kuwa Heche ndio kasema hivyo.Ushahidi kuwa wameomba umeuona
Sawa chifu umesikika.Asijiamini sana mpaka kuwataja kina Slaa na Zitto kwenye hoja zake za usaliti.
Hata yeye ni msaliti mtarajiwa. Mbowe kamtoa mbali, ila asim-idolize kwa kiwango hicho.
hawa ndivyo walivyo mfano kwenye uchaguzi mdogo kigoma alisimama mgombea wa zitto kabwe nasema amepewa taarifaza ndani ya ccm eti wanagombana mgombea wameweka hakubaliki na wananchi yaani mpaka aibu wapinzani sijui mnakwama wapi wamepigwa asubuhi kweupeeee wainzani mtabaki kuwa wapinzani mileleEndelea kujifariji