John Komba: CCM ni kokoro

John Komba: CCM ni kokoro

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kila nikikumbuka kauli hii ya aliyekuwa mbunge wa Nyassa John Komba RIP aliyoitoa bungeni kwamba CCM ni kama Kokoro huwa inanitafakarisha sana.

Sasa kama CCM ni kokoro chama kikuu cha upinzani CHADEMA tutakiitaje? Maana Chadema hupokea mtu yoyote na hawadumu baada ya kitambo kidogo huondoka kuelekea CCM.

Ngoja niendelee kutafakari.

Maendeleo hayana vyama!
 
Ccm ni zaidi ya kokolo, yaani kumbakumba, imesheheni watu wa kila namna, waongo,wazembe, WACHAPAKAZI, wacha Mungu, waongeaji ,wajenga hoja nk nk nk😄!
 
Back
Top Bottom