John Krasinski ndiye 'mwanaume mwenye mvuto zaidi aliye hai' kwa mwaka 2024

Kafikisha hata wanawake 100 huyo?, kuna mwamba amekuwa sexiest ametembea na wake wa vigogo walikuwa wanampenda wenyewe 400, na imekuwa heri taarifa imevuja, alikuwa anaenda kumpiku Suleiman, mshambuliaji wa wakat wote tangu kuumbwa kwa dunia mpaka sasa
 
AAAh wapi
Kipimo cha mwanaume ni mwanamke
REF.Baltazarito Engungansky
 
Huyu jamaa alijuta kwenye ile movie ya 13 hours secret soldier of bengaz

Ilikua Libya sio poa
 
Kwenye the covenant jamaa kacheza sana na mwamba "Ahmed"
Ndo mwenyewe lakini? Leo nipo nipo tu nikaona ngoja ni-Google hiyo The Convenant. Ingawaje nimeiiona ya 2023 na Ahmed yupo lakini huyo mwamba wa Tom Clancy's Jack Ryan sijamuona! Au mimi ndo nimemfananisha?!
 
Ila umenisaidia kuifahamu hiyo The Covenant manake nilikuwa siifahamu na ninaishusha hivi sasa
Ni movie na nusu
Hakikisha ni ya 2023 maana IPO na ya 2006
Humo ndani Kuna Jake na Dar Slim
 
Kwenye Covenant sio yeye , huyu jamaa kacheza Jack ryan na 13 soldiers in Benghazi
Uko sahihi na ndio maana alinichanganya maana zote nimeangalia ila kwa sehem wamefanana na Jake wa covenant
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…