Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashangaa sanaaaHivi uzuri au mvuto wa mwanaume unapimwaje?
AAAh wapiJohn Krasinski ametajwa na jarida la People kama "Mwanaume Mwenye Mvuto Zaidi Aliye Hai" (Sexiest Man Alive) kwa mwaka 2024.
Kwa mujibu wa jarida la "People Magazine" kutoka Marekani, Novemba 11 kupitia onyesho maarufu la "The Late Show" lililoongozwa na Stephen Colbert, Krasinski, muigizaji na mkurugenzi wa filamu mwenye umri wa miaka 45, alitangazwa na kupokea cheo hicho cha heshima.
Chapisho hilo limezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii kwani Mpenzi wa Selena Gomez Benny Blanco ali-share video akizungumzia mambo hayo kabla na kufanya wengi kuamini atapewa Cheo hicho cha heshima kinachotamaniwa na wengi.
Mke wa Krasinski, Emily Blunt, ambaye pia ni muigizaji, amefurahishwa na taarifa hiyo na kusema atakapopata nakala za picha za mume wake kwenye jarida hilo, atazibandika nyumbani kwao mjini Brooklyn, ambapo wanaishi na watoto wao wawili, Hazel na Violet.
Kupata cheo hicho kumechangiwa pia na uhusika wa Krasinski kwenye filamu maarufu "The Office," na uongozi wake katika filamu aliyoiandika na kuiongoza "A Quiet Place," pamoja na "Some Good News" ambayo ilifanya vizuri, huku mwaka huu akitoa comedy inayoitwa "IF."
Mwanaume wa kwanza kupokea cheo hiki cha "Mwanaume mwenye mvuto zaidi" alikuwa Mel Gibson, na wengine waliofuatia ni George Clooney, Idris Elba, John Legend, David Beckham, Dwayne Johnson, na Patrick Dempsey wa mwaka jana.
Ndo mwenyewe lakini? Leo nipo nipo tu nikaona ngoja ni-Google hiyo The Convenant. Ingawaje nimeiiona ya 2023 na Ahmed yupo lakini huyo mwamba wa Tom Clancy's Jack Ryan sijamuona! Au mimi ndo nimemfananisha?!Kwenye the covenant jamaa kacheza sana na mwamba "Ahmed"
Labda wamefanana mi nimecoment tuNdo mwenyewe lakini? Leo nipo nipo tu nikaona ngoja ni-Google hiyo The Convenant. Ingawaje nimeiiona ya 2023 na Ahmed yupo lakini huyo mwamba wa Tom Clancy's Jack Ryan sijamuona! Au mimi ndo nimemfananisha?!
Naona wamefananaNdo mwenyewe lakini? Leo nipo nipo tu nikaona ngoja ni-Google hiyo The Convenant. Ingawaje nimeiiona ya 2023 na Ahmed yupo lakini huyo mwamba wa Tom Clancy's Jack Ryan sijamuona! Au mimi ndo nimemfananisha?!
Kwenye Covenant sio yeye , huyu jamaa kacheza Jack ryan na 13 soldiers in BenghaziKwenye the covenant jamaa kacheza sana na mwamba "Ahmed"
Ila umenisaidia kuifahamu hiyo The Covenant manake nilikuwa siifahamu na ninaishusha hivi sasaLabda wamefanana mi nimecoment tu
Exactly, na hizo zote nilishaziona.Kwenye Covenant sio yeye , huyu jamaa kacheza Jack ryan na 13 soldiers in Benghazi
Ni movie na nusuIla umenisaidia kuifahamu hiyo The Covenant manake nilikuwa siifahamu na ninaishusha hivi sasa
Uko sahihi na ndio maana alinichanganya maana zote nimeangalia ila kwa sehem wamefanana na Jake wa covenantKwenye Covenant sio yeye , huyu jamaa kacheza Jack ryan na 13 soldiers in Benghazi
Yeah kabisa mkuuUko sahihi na ndio maana alinichanganya maana zote nimeangalia ila kwa sehem wamefanana na Jake wa covenant
Hivi uzuri au mvuto wa mwanaume unapimwaje?
Shoga ake lulu diva maku kabisaMpaka Poda Hemedy wa bongo movies yuko wapi anayejionaga mzuri
USSR
Hatari sanaHuyu jamaa alijuta kwenye ile movie ya 13 hours secret soldier of bengaz
Ilikua Libya sio poa