Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Acha hizo, aliyefariki anaitwa nani?Nanda iwanja wa ndege kuna msiba wa jamaa kafariki baada ya chanjo hapo wafanyakazi wa air port wameingia hofu baada ya huyo jamaa kufa kama mimi muongo basi waandishi wa habari waliopo hapa waende kuuliza ,wewe uliwasikia wizara wakisema kuwa madhara ya kovidi yasijulikane kwa yoyote ni kampeni ya kitaifa
Nanda iwanja wa ndege kuna msiba wa jamaa kafariki baada ya chanjo hapo wafanyakazi wa air port wameingia hofu baada ya huyo jamaa kufa kama mimi muongo basi waandishi wa habari waliopo hapa waende kuuliza ,wewe uliwasikia wizara wakisema kuwa madhara ya kovidi yasijulikane kwa yoyote ni kampeni ya kitaifa
Msibani tutakula nini nyasi au mtori?Born: 15th May, 1940. Departed: 17th August, 2021. With great sadness, the Mramba’s Family hereby announce the passage of our beloved father, Basil Pesambili Mramba; A life so beautifully lived deserves to be beautifully remembered. Mzee succumbed to illness at the Regency Medical Center earlier this morning, 17th August; 2021. Given the pandemic situation, the family accepts your sympathies and prayers and asks for privacy. We will receive visits from Family Members ONLY at his residence on Mawenzi Road, Oysterbay. Further information and program will be shared at a later stage. The Lord has given, and the Lord has taken away; May God rest his soul in eternal peace. Amen. Godfrey B. Mramba.
Nikweli watafute wafanyakazi wa Airport watakuambia msiba upo hapa bananaAcha hizo, aliyefariki anaitwa nani?
Huwa unaulizwa kama una ugonjwa nyemekezi kabka ya chanjo.
Usikute mtu ana HIV , kisukari au pressure.
Tahadhari ni yako mwenyewe.
Kwahiyo unapingana na waliounda chanjo ?Kwanza poleni sana kwa msiba. Kifo kinauma na ni upumbafu uliopitiliza kwa awaye yote kudunisha suala la kifo cha mtu asiyemhusu.
Zipo sababu nyingi zinazoweza kuelekea kifo mtu baada ya kupokea chanjo:
1. Kifo kutokana na chanjo kinacho sababishwa na masharti na vigezo kutozingatiwa:
TANZIA - Dkt. Hassan Doulla, Daktari bingwa wa watoto Hospitali ya Dkt. Massawe afariki dunia
Comment #71 inahusika.
2. Mtu anaweza kupokea chanjo lakini akafa kwa magonjwa mengine ambayo hata bila chanjo angaliweza bado kufa mfano: malaria, cancer, nk (yaani coincidence).
Hiyo ni 3rd party reporting- maneno ya kuambiea.Nikweli watafute wafanyakazi wa Airport watakuambia msiba upo hapa banana
Kwahiyo unapingana na waliounda chanjo ?
RIPAise.. Vifo vimekuwa vingi.