Ha ha ha endelea tu. Hakuna aliyekukataza.
..asante.
..take it easy.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha endelea tu. Hakuna aliyekukataza.
Uhuru alikuwa amejifungia analisokota kwanza; si unajua tena?We "MKenya International code +254" vipi mkuu imekuwaje tena mbona mgeni wenu kapokelewa na Waziri wa mambo ya nje (Amina Mohamed) Uhuru alikwenda wapi? Gatundu kumtembelea mama Ngina AU!! We unaona hii imekaa kaaje mkuu.
Haya wewe unaesema nimetumia lugha isiyofaa kivipi au umeelewa nini maana yangu au unalopoka tu nyinyi ndiyo mnaoshindwa kesi mahakamani kwa kulopoka niambie maana ya lugha niliyo itumia na kuto kufaa kwakeAcha lugha isiyofaa kwa kiongozi wa nchi wewe.
Mleta mada ametoa tahadhari tayari post #2
Kweliii kabisa kuanzia leo sisi ni ndugu humu Kenyans news na haitakuwa ikiitwa hivyo tena ... Tutainame "TZ&KE NEWS".... Copy?..... OverHukusikia Magufuli na Kenyatta wana sema sisi sote ni ndugu, tutabanana humu humu kwenye thread za Kenya.
Copy, nina support idea ....over.Kweliii kabisa kuanzia leo sisi ni ndugu humu Kenyans news na haitakuwa ikiitwa hivyo tena ... Tutainame "TZ&KE NEWS".... Copy?..... Over
Wazi afandeCopy, nina support idea ....over.
So did Cubans but unlike you guys they do not regard it as a reason for entitlementWe have done our bit, without us you wouldn't have Mozambique, Zimbabwe, South Africa, Angola, Namibia in AU. At the same time, Kenya was busy crucking champagne with Israel, white South Africa, USA and Europe.
Kumbe hata kiswahili hukijui?? Hili neno "karba" ulitaka kumaanisha ni sehemu yako ya kutolea haja kubwa??Rubbish, Mao wa China aliwatuliza watu wa karba yako
We have done our bit, without us you wouldn't have Mozambique, Zimbabwe, South Africa, Angola, Namibia in AU. At the same time, Kenya was busy crucking champagne with Israel, white South Africa, USA and Europe.
We are eating the fruits of our labour, funny enough, Kenya always shows up when the war is over and demand free visa, free trade, free movement of people thinking no one is watching.Aren't you (tz) "crucking" the biggest bottle of champagne with those nations you mentined now?...INVESTMENTS AND MISAADA?