The Boss Nimekumiss.Kila Mara ninapotazama nyimbo za John akini kwenye Tv I can't help admire kitu ...'the brotherhood' between them. Na jinsi dogo anavyomkubali na kumheshimu kaka yake .dogo ni graduate..second degree juzi tu..kaka mtu ni form four tu..but still that respect ya dogo kwa kaka yake u can still feel it...na the fact kuwa he is his brother's keeper .Unaweza ona how John ameweza kum lead mdogo wake na kuweza ku earn his respect pamoja na kuwa mziki anaoufanya hauna pesa kivile..there is something special about them ...
Sidhani kama kuwa na elimu kunamfanya mtu asimheshimu Kaka, Dada wala Mzazi wake ambaye aliukimbia umande. Mimi Bwana mdogo wangu ni Phd holder, wakati mimi mzee mzima ni mvuvi tu wa kawaida, lakini bado ananipa heshima yangu kama kaka mkubwa!.[/QUOT. Kuna watu wana vyeti vya veta tu na dharau kwa kila mtu...Hongera kwa mdogo wako
Kila Mara ninapotazama nyimbo za John akini kwenye Tv I can't help admire kitu ...'the brotherhood' between them. Na jinsi dogo anavyomkubali na kumheshimu kaka yake .dogo ni graduate..second degree juzi tu..kaka mtu ni form four tu..but still that respect ya dogo kwa kaka yake u can still feel it...na the fact kuwa he is his brother's keeper .Unaweza ona how John ameweza kum lead mdogo wake na kuweza ku earn his respect pamoja na kuwa mziki anaoufanya hauna pesa kivile..there is something special about them ...
I just adore this duo
Walionimiss wote walinifuata pm we sikukuona...Mzima lakini...nimerudi zawadi yangu ya kunimiss Nasubiri.
Na wangekua wanapiga pesa kama diamond mngewasifia? Wanga wakubwa nyinyi mtu akichoka misifa kibao akitoka matusi mwanzo mwisho..mwafrika kweli asili yake uchawi ona sasa eti nawakubali kinoma shenz taip