Mswahili Old Acc
JF-Expert Member
- Sep 27, 2006
- 488
- 24
Very interesting M.M Mwanakijiji = John Mashaka = Kitila Mkumbo, hii Kali kumbe Musoma ni mkoa vile vile, ama Kweli JF inaelimisha....
Wameshaikimbizia huku, leo niko nae John Mashaka(Mwanakijiji) alijua wote wajinga hapa JF,
Ndiye yeye.
Wameshaikimbizia huku, leo niko nae John Mashaka(Mwanakijiji) alijua wote wajinga hapa JF,
Ndiye yeye.
Wameshaikimbizia huku, leo niko nae John Mashaka(Mwanakijiji) alijua wote wajinga hapa JF,
John Mashaka ninavyojua ndiyo mwanakijiji. Kwa umri wake yuko kwenye group yangu (32 years) na ningemshauri kujiendeleza zaidi kielimu na kimapato. Ndugu yangu endelea kutoa mawazo na kuonyesha umahiri lakini jiendeleze kielimu na tafuta pesa. Politics zitakuja baadae.
KadaMpinzani hapo sasa unazidi.....
Unawaambia watu kwenye hii thread wanyamaze, kumbe wewe ndo unatakiwa kunyamaza.
Kuna wakati una good points, lakini tatizo huo ukada ndo umekuzidi....Nasikia kwenye chama mnalipwa bonuses kulingana na namba ya posts hapa JF, si bure...