John Mashaka Ni Mbunge Mtarajiwa!

John Mashaka Ni Mbunge Mtarajiwa!

Status
Not open for further replies.
Mwanakijiji kaona maisha magumu Marekani, kakosa shule na pesa anatafuta gea ya kurudi nyumbani kama mwanasiasa.

ile thread ya maisha ya vijana wetu marekani ndio inawafanya watu kama Mwanakijiji kuwa na hasira na JK. wanaona kuwa wakati wanaondoka waliiona TZ kama ni jalala ndoto zao majuu-Marekani wamefika huko wamekwama.

kilichobaki kufungua viredio vya kitandani na kuanza kuandika makala kuilaani serikali yetu.

Mwanakijiji wakati unaondoka ulikuwa huna ari ya siasa wala hobby sasa mambo magumu Marekani unakuja na kuwadanganya Chadema kuwa kuna mengi utawaletea. kwanini usieletee familia yako elimu na fedha kwanza?

Chadema walikuwepo Tz kabla hujaondoka lakini hukufika ofisini kwao wala kuchukua kadi yao, jamaa wamehangaika na chama chao leo unataka kula bila kutoa jasho lako, Kuandika JF sio kigezo sababu huna shughuli maalum na hapa ndio sehemu yako ya kujifariji na misukosuko ya maisha ya ughaibuni. yaani mkuu ulinunua MBUZI kwenye gunia, ulipoona mataa au maghorofa kwenye sinema utajua ukifika tu umeula.

kutokana na makala ya ughaibuni na dreams za vijana wetu vinavyoyeyuka huko Marekani, Mwanakijiji una kila sababu ya kuitukana serikali yenu una mfadhaiko wa maisha.

nani atakupa ubunge kwa kuvaa miwani na suti nyeusi?

Mswahili=Mtalii=Chinga,

Mbona wewe ulivyorudi hapa nyumbani watu hawajasema kitu? Hivi unajua sababu gani hasa ilifanya urudishwe hapa licha kupandishwa cheo chako. Wewe ulikuwa hatari kwa Watanzania huko UK na ndio maana "jamaa" yako akaamua kukuondoa hasa baada ya ukabila wako na chuki yako dhidi ya Wachagga ilivyodhihirika.

Malalamiko dhidi yako yameanza kufika hata "huku" kuwa unawanyanyasa watu wenye asili ya uchagga kwa sababu ya chuki yako dhidi ya watu wa kabila hilo kwa sababu ambazo "unazijua" (of course na mimi ninazijua)

Wakati wengine tunampinga Mwanakijiji kwa ajili ya kutetea unga wetu, wewe unampinga kwa sababu anaindama serikali ya "mtu wako" na wenzako mmekuwa mkitafuta jinsi ya kumzima na ndio maana mipango yenu siachi kumuwekea hapa wazi; kwani kwetu "sisi" mwanakijiji ni bora aendelee kukaa huko huko Marekani kama "mkimbizi" kuliko kurudi huku maana akirudi atawaziba kina Zitto na Mnyika kwani hawa tunao mkononi hawaendi popote.

Wewe endelea na ufisadi wako hapo foreign na dawa yako iko jikoni maana wachagga na wakristu wanaopita chini yako wanajua jinsi ulivyo na roho ya kisasi hasa anga zako zinapotishiwa.

Asante.
 
Mswahili=Mtalii=Chinga,

Mbona wewe ulivyorudi hapa nyumbani watu hawajasema kitu? Hivi unajua sababu gani hasa ilifanya urudishwe hapa licha kupandishwa cheo chako. Wewe ulikuwa hatari kwa Watanzania huko UK na ndio maana "jamaa" yako akaamua kukuondoa hasa baada ya ukabila wako na chuki yako dhidi ya Wachagga ilivyodhihirika.

Malalamiko dhidi yako yameanza kufika hata "huku" kuwa unawanyanyasa watu wenye asili ya uchagga kwa sababu ya chuki yako dhidi ya watu wa kabila hilo kwa sababu ambazo "unazijua" (of course na mimi ninazijua)

Wakati wengine tunampinga Mwanakijiji kwa ajili ya kutetea unga wetu, wewe unampinga kwa sababu anaindama serikali ya "mtu wako" na wenzako mmekuwa mkitafuta jinsi ya kumzima na ndio maana mipango yenu siachi kumuwekea hapa wazi; kwani kwetu "sisi" mwanakijiji ni bora aendelee kukaa huko huko Marekani kama "mkimbizi" kuliko kurudi huku maana akirudi atawaziba kina Zitto na Mnyika kwani hawa tunao mkononi hawaendi popote.

Wewe endelea na ufisadi wako hapo foreign na dawa yako iko jikoni maana wachagga na wakristu wanaopita chini yako wanajua jinsi ulivyo na roho ya kisasi hasa anga zako zinapotishiwa.

Asante.

Siamini kama Chinga anafanya foreign kwa lugha yake. pia hapo bi senti unachochea udini na ukabila foreign ina maana Membe na Mombo ambao wote ni wakristu watakubali kuona waksritu wanaonewa? kwa ufahamu wangu katibu mkuu na waziri wote ni wakristu la uchagga silijui vizuri, lakini Mwanakijiji si mchagga.
 
sasa kusema mwanakijiji si mchagga ni ufunuo wa aina gani wakati umenibambikia vitu kadhaa ambavyo si vya ukweli? Nikiseme wewe si Mkenya what are the chances that I might be right?

mbona watu wengi wamekuwa wakihisi kabila langu; sidhani kama una kigeni hapo.
 
GLOBAL ECONOMIC OUTLOOK ADVICE TO TANZANIANS, AND EAST AFRICANS

MashakaTheActivist20080929.jpg

John Mashaka

At this point, many of you are aware of the Economic turmoil that has rocked the global economies. From the NYSE, LSE, to Hong-Kong Stock Exchange the cry is the same, and the pain is being felt in all sectors ; manufacturing, energy, agriculture etc.

Even though the problem may have started as Mortgage crisis in the US, and many thought it would have ended there, the reality is rather different, and the truth is painful and scary to hear. The data that has been available for almost two years now, pointed to the very situation we are in today. Middle analysts detected the problem raised their eye brows, but then their voices were too low to be heard by money hungry, bonus driven Wall-Street executives.

The big shots at the Wall-Street, driven by greed continued to cook their deals; duped European Bankers with bogus deals, who in turn spread the rotten credit deals in all global markets. Anyway, the damage has been done, and now faced with a reality of controlling the pain! And must consider the impact of the problem; how is it going to affect the common man in Tanzania, Kenya and elsewhere in Africa!

Millions of people in the US who invested their lifetime savings in the stock market have watched their funds melt in their own eyes. A man or other a client, who invested his savings in the stock option plan, in one of the now gone companies, lost $4 million in less than a year; People are loosing their jobs, many businesses closing their doors, people can no longer afford paying their once owned expensive assets. Banks and many financial institutions are collapsing at an alarming rate. Millions around the world are rapidly depleting their savings.

Even though the Central Banks around the world have taken aggressive and swift measures to curb the problem by cutting interest rates and pumping almost a Trillion dollar rescue packages into their respective economies, so far the effort have not calmed the anxiety, the problem seems very deep entrenched than many thought.

That means, the meltdown was not limited to the Sub prime, it is in the credit, manufacturing and even retail.

When major banks cannot meet their Liquidity requirements as in the case of several fallen US banks, when Short term lending becomes a problem, when commercial paper is not attainable, the economy goes into its knees. Many companies depend on these short term instruments to finance their day to day operations, short term projects, as well as meeting their payroll needs. And when they can't secure these instruments, it means they stop their operations.

Likelihood of companies letting their employees go due to payroll problems are very real. LIBOR, a system used in the UK and partly in the US for inter-bank lending, whose rates have gone up, shows that we are in for a long and tough ride, raising the inability of Banks to issue loans to individuals and companies lacking highest ratings in the ratings circles.

The Global Markets are plummeting, due to the fact that, investors are worried, no individuals or companies want to put their investments in the risky market, and many (millions) are pulling out their investments. Consumers are scared to spend, and this is leaving experts without any cure to the disease, that is spreading globally.

Many of you know that Wall-Street or other financial markets are driven by speculation as you witnessed early during the year, when energy prices went off the roof in the Western World; this was fueled by speculation of war outbreak in the Persian Gulf, Economic boom in Asia Pacific, and India. Now that economic boom has taken a downward trend, so has the demand and the prices. Speculation has now turned into fear for the worse,

These are symptoms of an economic recession, and even though further bear the hallmarks of the 1929 great depression, we are optimistic things will turn around before we get into a similar economic tragedy.

To our people, fear is the worst enemy of any human being. Do not fear or panic in these uncertain times. Go about your daily activities, and please.


• Abstain and cut OFF completely, all the unnecessary spending, and purchases
• Do not rush into the bank to remove your deposits, because you will create an environment in which banks liquidity runs to zero, hence a collapse.
• Make sure you ask from your bank how much money they insure with the central bank as those in America and Europe, be assured that, All your deposits are safe. Bank of England and European Union Central Banks are currently in charge of all deposits
• Constantly check with your Bank to see how things are moving in terms of the safety of your deposits
• I know many cannot afford depositing their monies into precious metals, but for those with excess cash, may want to consider this option as an alternative to safeguarding their most liquid assets (cash) and these valuables can be deposited in most of the banks, this will ensure economic continuity in the economy.
• Be careful, and not fall a prey of con artists with cure to any economic problem. Your trusted licensed banker and government monetary officials entrusted with the task should be the only persons to deal with.

Economists, policymakers and monetary experts in our country have perhaps taken measures, or have aggressive plans in place that will safeguard your savings, you must therefore be optimistic, at the same time must be cautious not to be caught off guard. Since many of our third world countries are dependent on the West for Tourism, Export, and Aid to subsidize their Budgets, the impact may be soon be felt. The IMF has pointed for a deep recession. Either way, how prepared are we?

John Mashaka
The Writer Is a US Based, Social Activist & Investment Banker, of Tanzanian Origin.
_____________________
 
...sijui ni kwa nini, (naapa haki ya nani tena siyo madawa wala vinywaji), lakini kila nikiangalia hiyo picha inayofanana na Flav Flavor halafu nikisoma article yake kama ilivyotundikwa hapo juu, namkumbuka Pundit wetu wa JF.... may be the NY banking sector link, ...or may be mambo ya kudhamini watu... i just don't know.. 😕

...Anyway, kutokana na maelezo mengi kule kwa globu ya kaka Michuzi, he seem well connected and with good intentions... agombee tu huo ubunge au wampe walau ule wa viti maalum. ciao
 
Hapa bwana Mashaka anawalenga waTz na East Africans walio Tanzania au walioko Marekani na nchi nyingine nje ya Tanzania?

Aliyeelewa naomba anieleweshe.
 
Sasa kama hata hao "US Based Investment Bankers" wetu ndiyo mambo yao hivi ngoma yetu kubwa kuliko nilivyofikiri. Maana mi nilikuwa nafikiri ni Kikwete na kukosa exposure kwake, kumbe matatizo mengine huwezi kuyatatua ukubwani.

Don't make me dissect this now y'all.

Kuhani kwa nini unapenda ku tempt watu namna hii lakini?
 
Sasa kama hata hao "US Based Investment Bankers" wetu ndiyo mambo yao hivi ngoma yetu kubwa kuliko nilivyofikiri. Maana mi nilikuwa nafikiri ni Kikwete na kukosa exposure kwake, kumbe matatizo mengine huwezi kuyatatua ukubwani.

Don't make me dissect this now y'all.

Kuhani kwa nini unapenda ku tempt watu namna hii lakini?

Go right on ahead with your loquacious self.....
 
I'm waiting for Pundit to machette murder this artcle......
 
I'm waiting for Pundit to machette murder this artcle......

Hahaha, such an appetite for destruction. Ushaambiwa John Mashaka ndiye Pundit, probably kwenye conference call na Wall St types wake na hawezi kujimaliza sasa hivi.

Atajimaliza mara baada ya kumaliza call.

I am insulted kwamba Steve kamfananisha huyu joker na Pundit.
 
Hahaha, such an appetite for destruction. Ushaambiwa John Mashaka ndiye Pundit, probably kwenye conference call na Wall St types wake na hawezi kujimaliza sasa hivi.

Atajimaliza mara baada ya kumaliza call.

I am insulted kwamba Steve kamfananisha huyu joker na Pundit.

Naaw man....wewe sio John Mashaka bana.....
 
Hahaha, such an appetite for destruction. Ushaambiwa John Mashaka ndiye Pundit, probably kwenye conference call na Wall St types wake na hawezi kujimaliza sasa hivi.

Atajimaliza mara baada ya kumaliza call.

I am insulted kwamba Steve kamfananisha huyu joker na Pundit.

Please accept my apologies as my comment above somehow according to you have crossed the line. Samahani.

Naomba unielewe tu kuwa nimesema hivyo kutokana na kusoma posts zako nyingi na kuamini kwangu kuwa uko very proficient na kuongelea mambo ya uchumi. Hivyo basi nilitegemea kufananisha huko kunge prompt rebuttal dhidi ya yale aliyoandika huyo Mashaka. Katika hili la uchumi, please do believe me; i did not want to compare you with the guy at all.

Kwenye kufanana na Flav Flavor, huku i allow you to issue me my deservingly punishment. Kwani niliandika hivyo kwa kupiga taswira jinsi vile unavyoongelea mambo ya miziki and the industry in general.... Hiyo picha kama ilivyotundikwa hapo juu kwa kweli inanikumbushia Flav Flavor wa The Public Enemy, lakini pia nimeandika kwa mfananisho huo kwani ulishawahi kuongelea jinsi vile Mh. Pinda alivyo vaa suit ya ajabu ajabu kwenye Bunge siku zile anateuliwa kuwa waziri mkuu... na uliongelea jinsi ambavyo anatakiwa ajue kuvalia nguo zenye hadhi yake. Kingine ni kule kuongelea kwako mambo ya 80/20 na jinsi wewe unavyoweza kuwa victim wa may be 90/10... Sasa sababu ya mimi kunifanya niyaingize haya ya mavazi ni jinsi vile huyo jamaa aliwahi kuongelea mambo ya maladhi n.k. kwenye moja ya mahojiano yake alipokuwa hapa Tanzania.

Sorry dude. I mean it.

SteveD.
 
Please accept my apologies as my comment above somehow according to you have crossed the line. Samahani.

Naomba unielewe tu kuwa nimesema hivyo kutokana na kusoma posts zako nyingi na kuamini kwangu kuwa uko very proficient na kuongelea mambo ya uchumi. Hivyo basi nilitegemea kufananisha huko kunge prompt rebuttal dhidi ya yale aliyoandika huyo Mashaka. Katika hili la uchumi, please do believe me; i did not want to compare you with the guy at all.

Kwenye kufanana na Flav Flavor, huku i allow you to issue me my deservingly punishment. Kwani niliandika hivyo kwa kupiga taswira jinsi vile unavyoongelea mambo ya miziki and the industry in general.... Hiyo picha kama ilivyotundikwa hapo juu kwa kweli inanikumbushia Flav Flavor wa The Public Enemy, lakini pia nimeandika kwa mfananisho huo kwani ulishawahi kuongelea jinsi vile Mh. Pinda alivyo vaa suit ya ajabu ajabu kwenye Bunge siku zile anateuliwa kuwa waziri mkuu... na uliongelea jinsi ambavyo anatakiwa ajue kuvalia nguo zenye hadhi yake. Kingine ni kule kuongelea kwako mambo ya 80/20 na jinsi wewe unavyoweza kuwa victim wa may be 90/10... Sasa sababu ya mimi kunifanya niyaingize haya ya mavazi ni jinsi vile huyo jamaa aliwahi kuongelea mambo ya maladhi n.k. kwenye moja ya mahojiano yake alipokuwa hapa Tanzania.

Sorry dude. I mean it.

I don't think you are sincere....unauma na kupuliza....Lol
 
...Anyway, kutokana na maelezo mengi kule kwa globu ya kaka Michuzi, he seem well connected and with good intentions... agombee tu huo ubunge au wampe walau ule wa viti maalum.

SteveD,

Ma pundits wa kule kwa Michuzi waki mu-endorse, let's say, Mhe. Waziri Ali Juma Shamhuna au Mhe. Waziri Celina Ompeshi Kombani kugombea Urais wa Jamhuri 2010, watu ambao labda hujui wasifu wao au hata hujawahi kuwasikia, na wewe utadandia hilo bandwagon la wachambuzi wa kwa Michuzi ?

Kama huyu mtu yuko "well connected," according to hao ma pundit wa kwa Michuzi hicho kitu hakiendani na spirit ya JF ya kulaani "vimemo culture," na political patronage na influence peddling na mitandao ya vilaza, na corrupt alliances nyingine zozote. Tuambiwe lingine. Lakini so far, uchambuzi wa credit crisis wa huyu "mbunge mtarajiwa kutoka Wallstreet," hauendani na wasifu wake.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom