John Mashaka Ni Mbunge Mtarajiwa!

John Mashaka Ni Mbunge Mtarajiwa!

Status
Not open for further replies.
I probably need to go some pages back to understand what on earth is going on.. huo muda ndio tatizo..
 

Dear Kuhani,

The two posts you quoted above are first penal offenses by that member. With due respect to your postulation, we could not and cannot preemptively ban user's IP address prior to an offense nor can we do it lightly following an offense. In this matter, he/she will receive a punishment accordingly. However we must emphasize that, the kind and severity of punishment in many cases cannot be molded by another member. We appreciate your concern and apologize for impositions resulting from the two posts. Have a good day !


An addition to IP address issue: They can be dynamic, but can also be spoofed. Hence banning them is not the silver bullet for dealing with nuisance on forums. We do wish they were all static. Thank you !

Asante Painkiller.

Lakini, kama kufungia IP address sio dawa kwa sababu mwanachama anaweza kuizunguka IP address hiyo, basi hata kufungia User name nayo siyo dawa.

We nambie, tofauti ni nini kati ya kufungia IP address na User name ? Hakuna. Zote zinaweza kuzungukwa. Lakini ni vigumu zaidi kuzunguka IP address kuliko User name. After all, half of these clowns who resort to the kind of bawdy violations that undermine the forums are so full of turkey stuffing in their heads they couldn't figure how to spoof an IP if you tutored them.

Kingine, unasema hao members watakuwa punished, no, you are not punishing any members, you are punishing the User name! Watu wamejiandikisha leo leo halafu ghafla ghafla wanaanza na matusi kweli wanaweza kuwa wapya hao kweli ? Unajua kabisa sio wapya. Wangekuwa wanafungiwa IP address zao wangefikiria mara mbili. Kama kuna nia ya kupambana na hili janga - sio "nuisance" kama ulivyo characterize hili tatizo - janga linalohatarisha JF basi mnaweza kuchukua hatua madhubuti.

Unless JF ni mradi wa matangazo ya biashara ambayo yanaleta mapato kutokana na idadi ya User names.

Kufungia IP address sio muarobaini lakini ni mtangawizi. Na ukiongeza uwezekano wa kufungia MAC address unazidi kukaribia muarobaini.

Usiku mwema.
 
Orwell's rule for written english:

1.Never use a metaphor,simile,or other figure of speech which you are used to seeing in print.

2.Never use a long word where a short one will do.

3.If it is possible to cut a word out,always cut out.

4.Never use the passive where u can use the active.

5.Never use a foreign phrase, a scientific word,or a jargon word if u can think of an everyday English equivalent.

6.Break any of these rules sooner than say anything outright barbarous.
 
Sasa kama magazeti ya bongo yanakuwa na proof readers, mjomba John article yake haifai kuwa proof read kwa vile yuko USA. Well, ndio maana unashangilia kuwa kwako UK na kukutana na wenye matatiyo ya kiingereza zaidi yako! Ok ok, kwa vile UK watu wana matatizo ya kiingereza inakuwa dhambi kumkosoa mjomba John M. Ok, nimekupata.


Daily Mail,13 August 2007


British undergraduates have a poorer grasp of English than some foreign students

British undergraduates have a poorer grasp of English than some foreign students, a distinguished don claims today.

Dr Bernard Lamb, a reader in genetics at Imperial College London, says those from Singapore and Brunei make fewer mistakes in their work, despite English being their second language.

UK-born students are more likely to produce essays littered with errors, such as "there" instead of "their", and "bean" instead of "been".

Many appear to have gone through school without mastering the basic rules of grammar and punctuation, or having their errors corrected.

Even undergraduates with top Alevel grades who go on to get first-class degrees made frequent elementary slips, he adds.

Dr Lamb is now publishing a diary of student howlers in an attempt to shame "complacent" education ministers into raising the standard of written English.

A summary of the list - which originally ran to 24 sheets of A4-sized paper - will be published in the next issue of the Queen's English Society journal, Quest.

Dr Lamb said: "All these students have good or excellent A-levels or their equivalents.

"The overseas students were generally less bad and the worst were UK raised and usually of British ancestry.

"There was little evidence of students being taught the relevant rules at school, or of the students having been corrected for obvious and frequent errors. Many did not even regard these errors as important.

"The Government and the educational establishment need to be shaken out of their current complacency about standards of English by constant exposure to evidence such as that presented here from intelligent and highly-qualified undergraduates."

The list, called Errors In The English Of Highly-selected Undergraduates, is due to be published today.

As well as typical slips, including spelling errors such as "effect" instead of "affect" and "sun" instead of "son", there were nonsense sentences and howlers which completely changed the intended meaning.

Undergraduates wrote of 'rouge' genetic elements and plants being "sewn" together.


In one case, a UK-born and educated first-class degree student wrote: "It initats a undisired nonspecific response in mamammals."

None of the 75 third and final-year students was dyslexic and many had used computer packages designed to spot spelling and grammatical errors.

The checkers, however, cannot pick up wrong word choices.

Dr Lamb, who is chairman of the London branch of the Queen's English Society, said: "There is not enough emphasis on teaching children how to speak and write properly. Public schools are the only ones still pretty good at this.

"Standards have been going downhill since the 1960s. Pupils are not marked down because of bad grammar, but they should be.

"The rot thus extends from top to bottom in education, from bureaucrats to schools."

Common mistakes selection (correct spelling in bold)

accure - occurred, acheived / achived - achieved, affectional - affectionate, analasys/ analisis, analyzation - analysis, anormal - abnormal, to apose - oppose

baliure - failure, behavior / behavoir - behaviour, belifs - beliefs, beleive - believe, benefitial - beneficial, it must be bloked - blocked, burgandy - Burgundy

caffin - caffeine, caliculated - calculated, calonised - colonised, chromasomes - chromosomes, critisms - criticisms

delation /deleation - deletion, dendancy - tendency, desinged - designed, devestating - devastating, dieat - diet, doner - donor

entirly - entirely, enoculation - inoculation, environement/ enviroment - environment, envolves - involves, exept - except

fangal - fungal, farely - fairly, fibers - fibres, fertalise - fertilise, flouresce - (fluoresce

garunteed - guaranteed, genatalia / genetalia / gentalia, genitle - genital, geneotype - genotype

haemoglobulin - haemoglobin, haemophelia - haemophilia, haermophrodite/ hermaphrodyte - hermaphrodite, heigh - high, hereditability - heritability

identicle - identical , inaffective - ineffective, independant / indepentant - independent, intelegence - intelligence, intellegent - intelligent, intresting - interesting

kernal - kernel, Kliefener/ Keiffer/ Kleinfelter's - Klinefelter's syndrome

laballed - labelled, leathal - lethal, lossed - lost

mannar - manner, mantained - maintained, mays - maize, minature / minituare / minture / miniture - miniature, mytated - mutated

necesserally - necessarily, negitive - negative, nessecary - necessary, neverthaless - nevertheless, non - none, noticable / noticible - noticeable

occaisons - occasions, occoured - occurred, occure - occur, opaic - opaque, outway - outweigh

parantal - parental, pathy - pathway, perental - parental, pocesses - possesses, porpouse - purpose, purpel - purple

randomn - random recessif / ressecive / ressessive - recessive, reciprical - reciprocal, relitively - relatively, rist - wrist

safter - safety, Samonella - Salmonella, seringe - syringe, spontenous - spontaneous, summerise - summarise

temparature - temperature, theorically - theoretically, threated - treated, transfere /transphere - transfer, transmiss - transmit

unables - enables, undergoe - undergo, uretus - uterus

variaty - variety, vegatative - vegetative, veiw - view, venteral - ventral , visable - visible

wales - Wales, Weenberg / Weimberg / Weinburg - Weinberg, wheather / wether/ weather - whether, wheras - whereas, wilde - wild

yeild - yield




******************************
 
Duuu, hii thread kwa sisi tusiojua lugha hata moja naona tuwe tunapita tu kuangalia wanaojigamba yaani ninakuwa Mgambirwa.
Watu wananifurahisha. Mtu anasema yeye anajadili PUMBA alizoandika JM ila ukienda mbele unakuta hadi MIWANI yake na Kofia vimeandikwa. Hakuna anayejua picha lipigiwa wapi. Nilishangaa siku moja kumuona Clinton kavaa normal. Michael Jackson kavaa mijishati na fulana za bei cheap. Sasa ukija mpiga picha utasema ahh, muone huyu Clinton au Bush anatoa maoni haya na angalia nguo alizokuwa kavaa.
Kuna mtoto wa Milioanea mmoja ambaye baba yake anafanya biashara ya mafuta (watu kama LUKOIL). Huyu bwana kila akienda sehemu huwaambia kabisa mwenzenu naja nikiwa na T-Shirt na kofia kama ya JM na imegeuzwa. Of course akija aja na Sports Cars za Kijeruman au Italy zile za bei chafu. Akifika deal hufanywa na jamaa anaondoka. Mfano mwingine hebu oneni ile thread ya Mzee wa Kiswidi (Boss wa IKEA). Sijui huyo naye angelikuwa Mtanzania mngelimchamba kiasi gani. Mie nimekuwa na wasiwasi na promotion anazozitumia JM ila nisingelianza kujadili hadi kofia yake, miwani yake, kiingereza chake. Hii inawapa wengine kuanza kusema ni wivu wa Watanzania.
Tanzania na USOMI wetu twafungwa magoli kitoto na Wahindi na Waarabu. Hata vimacho wa Indonesia wanatufunga. Wazungu ndiyo acha kabisa. Ila kukicha sisi ni kusema tunaujua uchumi vizuri, kiingereza ndiyo wacha, mahesabu wazungu walikuwa wanakuja kuconsult, wahindi wanakuja kukopa, waarabu nawafanyia homework, CO WHAT? At the end of the day, unakaa kwenye mazingira machafu, nchi masikini, hamna mitaro, umeme wa mgawo, rais wako na nchi yako ni Matonya wa kimataifa. Hivi hii ELIMU tunayojivunia IMETUSADIA NINI?? Au ukweli unauma?????
Tujadili YALIYOMO na si KIKOMBE.

Nadhani,Mkuu, unachanganya mambo. Utajadilje yaliyomo kwenye kikombe kama kikombe chenyewe ni kichafu?

Watu hapa hatumpingi kuvaa kofia kageuza na miwani ya jua kila wakati. Tunachopinga ni kile tunachokiona kuwa ni/upretensious wa aliyevivaa. Huyu angesema anapiga muziki, baba yake ni milionea, anafanya kazi Google n.k. hakuna ambae angemstukia. Huyu anajiita social activist na investment banker. Kuthibitisha hilo imebandikwa piece ya kiuchumi ambayo inasemekana huyu investment banker ameiandika. Wengine tukiosoma hatuoni jipya ambalo limeandikwa. Tunaona ni article ya mtu kama Fundi Mchundo ambaye ni mpenzi wa magazeti ya ughaibuni. Magazeti kama Economist, Wall Street Journal, New York Times, The Guardian, International Herald Tribune n.k. Kusoma kwangu haya magazeti hata siku moja hakutanifanya mchumi mwenye uwezo wa kuandika a professional article on the subject. Ukijumuisha, what we unfortunately see as the shallowness of the article na uvaaji wa mwandishi ndiyo alarm bells zinazidi kupiga.

For too long, watu wanaoishi huko ughaibuni wametumia ukimya wetu na uoga wa kumkosoa mwenzetu kutuingiza mkenge. Kuanzia wale niliowataja walioanzisha timu za mpira mpaka hao waliotuuzia maturbine kanyaboya. Hii ni nchi ambayo mjanja aliwaingiza mjini wasomi wetu kwa ku/flash business card ya Pratt and Whitney na kusema yeye ni mwakilishi wao. Huyu mheshimiwa kaandika kitu katika public domain na ni haki akosolewe.

Sasa kudai kuwa tunafanya hivyo kwa sababu tunamuonea gele ni kupoteza mwelekeo. Gele ya nini? Kwa sababu anaishi ughaibuni? Wengi wa wanaomkosoa wanaishi huko huko. Kwa sababu ni kijana? Wengi wanaomkosoa nao ni vijana. Kwa sababu anafanya kazi nzuri( tunachojua ni mahali anapofanyia kazi lakini kazi anayoifanya hatuijui). Ameandika aricle ambayo hatuna uwezo wa kuiandika (ndiyo maana critic si mtendaji. Mgawanyo wa kazi).

mimi ningependa kuelewa kutoka kwa wale wanaomtetea, ni kitu gani alichoandika ambacho ni kigeni na kimelengwa kwa mtanzania? Au basi, ndiyo yale yale, ya ku-applaud mediocracy kwa sababu tu aliyeandika ni mwanetu? Hamumtendei haki. Kwa mtu makini angechukua hizi criticism to heart na kuzifanyia kazi ili baadae alete kitu ambacho wote tutampongeza. Kwa hii aliyoileta, safari yake bado ni ndefu.

Amandla......
 
kwikwikwikwikwikwi alikuwa anawanga, jamaa ana amini mambo ya ndumba. shauri lako, ukizidi kumfuatafuata atakushusha busha ndio ukome kuringa.

we wadhani hivyo.... pole sana.
 
...... ni kitu gani alichoandika ambacho ni kigeni na kimelengwa kwa mtanzania? Au basi, ndiyo yale yale, ya ku-applaud mediocracy kwa sababu tu aliyeandika ni mwanetu? Hamumtendei haki. Kwa mtu makini angechukua hizi criticism to heart na kuzifanyia kazi ili baadae alete kitu ambacho wote tutampongeza. Kwa hii aliyoileta, safari yake bado ni ndefu.

Amandla......

Suala sio ugeni wa kitu bali relevancy yake kwa jamii.Kwa mfano,unaweza kuzungumzia HIV/AIDS ambayo ni tatizo lililokuwepo kwa miongo kadhaa,lakini japo si geni bado linahitaji attention ya jamii.Mbona takriban kila siku hapa JF tunazungumzia ufisadi japo si jambo geni?

Na kwanini achukue hizo criticism ili baadaye aje na kitu kinachostahili pongezi badala ya nyie critics kuja na kitu cha aina hiyo?Yeye ameonyesha njia (hata kama ina mapungufu kama inavyodaiwa),what about our critics?Na tayari kuna nafasi nzuri zaidi ya hapahapa kwenye topic hii!

At the end of the day,ni suala la mtizamo tu.Mwingine atasema mpira umetoka nje,mwingine atasema mpira umetoka ndani.Huyu atasema bilauri iko half empty,yule atasema half full.
 
Sasa kama magazeti ya bongo yanakuwa na proof readers, mjomba John article yake haifai kuwa proof read kwa vile yuko USA. Well, ndio maana unashangilia kuwa kwako UK na kukutana na wenye matatiyo ya kiingereza zaidi yako! Ok ok, kwa vile UK watu wana matatizo ya kiingereza inakuwa dhambi kumkosoa mjomba John M. Ok, nimekupata.

You are short sighted yes. Now I understand why.
Samahani mama, umekosea.
 
Nadhani,Mkuu, unachanganya mambo. Utajadilje yaliyomo kwenye kikombe kama kikombe chenyewe ni kichafu?

Watu hapa hatumpingi kuvaa kofia kageuza na miwani ya jua kila wakati. Tunachopinga ni kile tunachokiona kuwa ni/upretensious wa aliyevivaa. Huyu angesema anapiga muziki, baba yake ni milionea, anafanya kazi Google n.k. hakuna ambae angemstukia. Huyu anajiita social activist na investment banker. Kuthibitisha hilo imebandikwa piece ya kiuchumi ambayo inasemekana huyu investment banker ameiandika. Wengine tukiosoma hatuoni jipya ambalo limeandikwa. Tunaona ni article ya mtu kama Fundi Mchundo ambaye ni mpenzi wa magazeti ya ughaibuni. Magazeti kama Economist, Wall Street Journal, New York Times, The Guardian, International Herald Tribune n.k. Kusoma kwangu haya magazeti hata siku moja hakutanifanya mchumi mwenye uwezo wa kuandika a professional article on the subject. Ukijumuisha, what we unfortunately see as the shallowness of the article na uvaaji wa mwandishi ndiyo alarm bells zinazidi kupiga.

For too long, watu wanaoishi huko ughaibuni wametumia ukimya wetu na uoga wa kumkosoa mwenzetu kutuingiza mkenge. Kuanzia wale niliowataja walioanzisha timu za mpira mpaka hao waliotuuzia maturbine kanyaboya. Hii ni nchi ambayo mjanja aliwaingiza mjini wasomi wetu kwa ku/flash business card ya Pratt and Whitney na kusema yeye ni mwakilishi wao. Huyu mheshimiwa kaandika kitu katika public domain na ni haki akosolewe.

Sasa kudai kuwa tunafanya hivyo kwa sababu tunamuonea gele ni kupoteza mwelekeo. Gele ya nini? Kwa sababu anaishi ughaibuni? Wengi wa wanaomkosoa wanaishi huko huko. Kwa sababu ni kijana? Wengi wanaomkosoa nao ni vijana. Kwa sababu anafanya kazi nzuri( tunachojua ni mahali anapofanyia kazi lakini kazi anayoifanya hatuijui). Ameandika aricle ambayo hatuna uwezo wa kuiandika (ndiyo maana critic si mtendaji. Mgawanyo wa kazi).

mimi ningependa kuelewa kutoka kwa wale wanaomtetea, ni kitu gani alichoandika ambacho ni kigeni na kimelengwa kwa mtanzania? Au basi, ndiyo yale yale, ya ku-applaud mediocracy kwa sababu tu aliyeandika ni mwanetu? Hamumtendei haki. Kwa mtu makini angechukua hizi criticism to heart na kuzifanyia kazi ili baadae alete kitu ambacho wote tutampongeza. Kwa hii aliyoileta, safari yake bado ni ndefu.

Amandla......

Fundi Mchundo is a beacon of reason.
 
Suala sio ugeni wa kitu bali relevancy yake kwa jamii.Kwa mfano,unaweza kuzungumzia HIV/AIDS ambayo ni tatizo lililokuwepo kwa miongo kadhaa,lakini japo si geni bado linahitaji attention ya jamii.Mbona takriban kila siku hapa JF tunazungumzia ufisadi japo si jambo geni?

Na kwanini achukue hizo criticism ili baadaye aje na kitu kinachostahili pongezi badala ya nyie critics kuja na kitu cha aina hiyo?Yeye ameonyesha njia (hata kama ina mapungufu kama inavyodaiwa),what about our critics?Na tayari kuna nafasi nzuri zaidi ya hapahapa kwenye topic hii!

At the end of the day,ni suala la mtizamo tu.Mwingine atasema mpira umetoka nje,mwingine atasema mpira umetoka ndani.Huyu atasema bilauri iko half empty,yule atasema half full.

Na mwingine atasema kama bilauri ni chafu there is little meaningful debate on that.
 
Suala sio ugeni wa kitu bali relevancy yake kwa jamii.Kwa mfano,unaweza kuzungumzia HIV/AIDS ambayo ni tatizo lililokuwepo kwa miongo kadhaa,lakini japo si geni bado linahitaji attention ya jamii.Mbona takriban kila siku hapa JF tunazungumzia ufisadi japo si jambo geni?

Na kwanini achukue hizo criticism ili baadaye aje na kitu kinachostahili pongezi badala ya nyie critics kuja na kitu cha aina hiyo?Yeye ameonyesha njia (hata kama ina mapungufu kama inavyodaiwa),what about our critics?Na tayari kuna nafasi nzuri zaidi ya hapahapa kwenye topic hii!

At the end of the day,ni suala la mtizamo tu.Mwingine atasema mpira umetoka nje,mwingine atasema mpira umetoka ndani.Huyu atasema bilauri iko half empty,yule atasema half full.

Haya, Mkuu. Nionyeshe kitu gani alichokiandika kina particular relevance kwa mtanzania?

Hao unaowaita critics wameishasema mapungufu wanayoyaona. Sasa badala ya kupinga walichokisema, unadai waandike ya kwao! Si critics wote ni waandishi. Ingekuwa hivyo basi watu wasingewachambua wachezaji wetu mahiri, waimbaji wetu, designers wetu, mafundi mchundo wetu n.k. Kwani makocha wote wanajua kucheza mpira kuliko wale wanaowafundisha?

Kwa mifano yako, mchezaji akiambiwa ametoa mpira nje kwa makosa basi jibu lake liwe basi njoo wewe ucheze! Au huyo mwenye bilauri akikosolewa, alivunje na kudai basi wewe uje na bilauri yako?

Criticism ni sehemu ya kukua. Kama unaogopa kukosolewa basi kaa nje ya public realm.
 
Haya, Mkuu. Nionyeshe kitu gani alichokiandika kina particular relevance kwa mtanzania?

Hao unaowaita critics wameishasema mapungufu wanayoyaona. Sasa badala ya kupinga walichokisema, unadai waandike ya kwao! Si critics wote ni waandishi. Ingekuwa hivyo basi watu wasingewachambua wachezaji wetu mahiri, waimbaji wetu, designers wetu, mafundi mchundo wetu n.k. Kwani makocha wote wanajua kucheza mpira kuliko wale wanaowafundisha?

Kwa mifano yako, mchezaji akiambiwa ametoa mpira nje kwa makosa basi jibu lake liwe basi njoo wewe ucheze! Au huyo mwenye bilauri akikosolewa, alivunje na kudai basi wewe uje na bilauri yako?

Criticism ni sehemu ya kukua. Kama unaogopa kukosolewa basi kaa nje ya public realm.


Fundi, baadhi ya watanzania hawapendi kukosolewa. Hii ni jadi, ukitaka kutest nenda mkosoe mmoja wa jamaa ukiwa na bahati mbaya utaona bifu lake, utaonekana si rafiki wa kweli na una wivu. Yaani rafiki kweli atakiwa awe mtu wa "ndiyo mzee", "hewala bwana", na "kumfagilia" tu hata kama unamfagilia kinafiki.

Hii imekolea sana huko serikali, na ndio inayozaa mitandao ya kijingajinga.

Usiulize kwa nini hatuendelei. Hatupendi challenge.
 
All I can say, Mjomba John M, inabidi ajitayatayarishie Uongozi tanzania kwa sababu kasi anayajadiliwa kwenye forum imevuka mpaka. amewakuna watu vichwa humu. Badala ya kujadili "contents" ya article yake, wameanza kumjadili binafsi na kuanza kutafuta mizengwe ya kumuaribia njia.

Huyu kijana ni mdogo sana, miaka 29 au 30 ni umri mdogo kulinganisha na vizee ambavyo vmeota siyo mvi bali kutu vichwani mwao ilhali hawajazifikia hatua alizopiga piga bwana mdogo.Tusubiri afikapo 40 kasi yenu itakuwa imefikia wapi, either way, ingekuwa vyema sana ikiwa baadhi yenu wangejaribu, badala ya kuandika pumba kwenye blogs, nanyi muandike essays hata moja moja kuhusu mada yake, ili tuone tofauti.

Lakini atakuwa amechemka tena sana kuacha kazi zake kwenda tanzania kwenye huo umri kupambana na well entrenched fisadis.

Endeleeni kumjadili lakini mjue kwamba mnavyozidi kumjadili ndio kadri mnavyozidi kumpatia umaarufu


Kwa wasiyo penda majungu, karibuni forum yenye utulivu

http://www.klhnews.com/
 
Fundi, baadhi ya watanzania hawapendi kukosolewa. Hii ni jadi, ukitaka kutest nenda mkosoe mmoja wa jamaa ukiwa na bahati mbaya utaona bifu lake, utaonekana si rafiki wa kweli na una wivu. Yaani rafiki kweli atakiwa awe mtu wa "ndiyo mzee", "hewala bwana", na "kumfagilia" tu hata kama unamfagilia kinafiki.

Hii imekolea sana huko serikali, na ndio inayozaa mitandao ya kijingajinga.

Usiulize kwa nini hatuendelei. Hatupendi challenge.

Kwa hiyo tukipenda "challenge" tutaendelea?
 
Fundi, baadhi ya watanzania hawapendi kukosolewa. Hii ni jadi, ukitaka kutest nenda mkosoe mmoja wa jamaa ukiwa na bahati mbaya utaona bifu lake, utaonekana si rafiki wa kweli na una wivu. Yaani rafiki kweli atakiwa awe mtu wa "ndiyo mzee", "hewala bwana", na "kumfagilia" tu hata kama unamfagilia kinafiki.

Hii imekolea sana huko serikali, na ndio inayozaa mitandao ya kijingajinga.

Usiulize kwa nini hatuendelei. Hatupendi challenge.

Haya, Mkuu. Nionyeshe kitu gani alichokiandika kina particular relevance kwa mtanzania?

Hao unaowaita critics wameishasema mapungufu wanayoyaona. Sasa badala ya kupinga walichokisema, unadai waandike ya kwao! Si critics wote ni waandishi. Ingekuwa hivyo basi watu wasingewachambua wachezaji wetu mahiri, waimbaji wetu, designers wetu, mafundi mchundo wetu n.k. Kwani makocha wote wanajua kucheza mpira kuliko wale wanaowafundisha?

Kwa mifano yako, mchezaji akiambiwa ametoa mpira nje kwa makosa basi jibu lake liwe basi njoo wewe ucheze! Au huyo mwenye bilauri akikosolewa, alivunje na kudai basi wewe uje na bilauri yako?

Criticism ni sehemu ya kukua. Kama unaogopa kukosolewa basi kaa nje ya public realm.

Fundi Mchundo mwenzangu,
Naona hujanielewa ninachotaka kusema hapa. Kumkosoa hata mie naunga mkono. Nimeandika kuwa nimekuwa na wasiwasi wa jamaa anavyotumia Internet kujitangaza. Ingawa ni hikihiki chombo Obama ametumia kushinda uchaguzi, kwa Tanzania bado sana. Angelirudi Tz na kuanzia kwenye roots kuonyesha jinsi alivyo mchapa kazi mzuri kwa mazingira ya Tanzania. You start from 0 hadi unaweka kitu kinachoeleweka.
Ukijadili na au ku-criticise artical yake mie sina matatizo. Ichambue vizuri tu na kuiweka kwenye vipande. Mie kinachonishangaza unapoanza hadi kujadili picha moja tu uliyoiona na haijulikani nani kaiweka hiyo picha. Hatujui hiyo ni artical yake ya ngapi. Hamjui alikuwa na ndoto ya miaka mingapi kuja kununua hiyo miwani na kofia. Alivyovipata akawa haachani navyo. Wengi tumepitia huko na tulikuwa na nywele zimefugwa na kukatwa ki-aina. Wengine walichonga mashati, wakakata suruali, wakazipanua kwa chini, wakavaa vi-stuli, wakaweka afro, waka...........
Mmoja hapa anasema kuwa ni kijana wa miaka 30. Ka utoto bado kamo ila anaweza kuwa na nia nzuri. Ni kumfundisha na si kum-KOMESHA. Naomba nitumie mfano wa Music producer Queens Jones. Huyu mzee nasikia sifa zake kubwa ukifanya naye kazi ni kuwa hata wewe Fundi Mchundo kama ukiandika wimbo ingawa milele hujawahi andika (tuseme), basi ukimpa ni kuwa siku zote jibu ni kuwa "ohhh, wimbo safi sana. Duu, wimbo mkali huuu....... ila unaonaje kama hapa tukibadilisha na pawe hivi, na pale hivi......." Mwisho wake unaweza kukuta kuwa ulichoandika kimebaki 10%. Ukweli utabaki kuwa huyu mzee na yeye hakukubaliana na wimbo wako ila amefanya hivyo kama ambavyo yule Tommy kwenye The Godfather anamwamba mtoto wa Don Carleon kuwa "jifunze kusema NO inayosound kama YES." Kumjadili Kiingereza chake, kofia yake, miwani yake, na sijui ingelionyesha meno basi hadi meno yake, simu yake, kiatu chake, shati lake nk kinaanza kutia wasiwasi, kweli hawa wanajadili hiyo makala yake au sasa wanamjadili mtu. Wangelijuwa hadi wazazi wake nao wangeliingizwa, maana mzazi wa mtu anayefanya kazi wall street hawezi akatia aibu.
Mama, wanasema msumeno hukata mbele na nyuma. Sasa unaposema kuwa wengine hawapendi kukosolewa, je wewe? By the way niliomba zile picha za matuta ya barabarani kwenye highway zetu. Sijui kama uliuona ujumbe.

Pundit, sijaona kama MIWANI na KOFIA ya jamaa ni chafu. Kama ni Kiingereza tumeambiwa Waingereza wenyewe wanafanya makosa. Ingelikuwa vema kumwelekeza kijana (ingawa sijui hata kama anasoma) na si kumkatisha tamaa. Nakumbuka wakati fulani kwenye Tanzanet ulizuka ubishi mkubwa sana juu ya Helcopiter isiyotumia mafuta. Tulibishana saana na mwisho akaja mwalimu kutoka UDSM idara ya Chemistry(Mr Rajab - heshima mbele) akasema imeandikwa "haitumii Fuel na si kuwa haitumii ENERGY". Ugomvi ukaisha. Ningelitamani mtu kama huyo aelezee sisi tunachopinga na kuwa kama KUMKOSOA kwa alichoandika basi hata sisi tunaunga mkono. Tukusoane na si KUKATISHANA TAMAA.
 
All I can say, Mjomba John M, inabidi ajitayatayarishie Uongozi tanzania kwa sababu kasi anayajadiliwa kwenye forum imevuka mpaka. amewakuna watu vichwa humu. Badala ya kujadili "contents" ya article yake, wameanza kumjadili binafsi na kuanza kutafuta mizengwe ya kumuaribia njia.

Huyu kijana ni mdogo sana, miaka 29 au 30 ni umri mdogo kulinganisha na vizee ambavyo vmeota siyo mvi bali kutu vichwani mwao ilhali hawajazifikia hatua alizopiga piga bwana mdogo.Tusubiri afikapo 40 kasi yenu itakuwa imefikia wapi, either way, ingekuwa vyema sana ikiwa baadhi yenu wangejaribu, badala ya kuandika pumba kwenye blogs, nanyi muandike essays hata moja moja kuhusu mada yake, ili tuone tofauti.

Lakini atakuwa amechemka tena sana kuacha kazi zake kwenda tanzania kwenye huo umri kupambana na well entrenched fisadis.

Endeleeni kumjadili lakini mjue kwamba mnavyozidi kumjadili ndio kadri mnavyozidi kumpatia umaarufu


Kwa wasiyo penda majungu, karibuni forum yenye utulivu

KLH News International - Home


Criticism inakubalika, lakini inabidi ziwe na maana ndani yake. Jamaa amejadili Uchumi, chambua pointi zake kisha wote tutakubaliana ndiyo siyo mavazi yake. Kwani miwani itatuokoa kwenye janga la kiuchumi.umechangia nini kuhusu uchumi?


Unafahamu fika kwamba hili tatizo ni kubwa na linakuja kwa kasi, kila taifa linatafuta ufumbuzi, na ujuaji wako, nini umechangia, just answer that simple question realistically !
 
Fundi Mchundo mwenzangu,
Naona hujanielewa ninachotaka kusema hapa. Kumkosoa hata mie naunga mkono. Nimeandika kuwa nimekuwa na wasiwasi wa jamaa anavyotumia Internet kujitangaza. Ingawa ni hikihiki chombo Obama ametumia kushinda uchaguzi, kwa Tanzania bado sana. Angelirudi Tz na kuanzia kwenye roots kuonyesha jinsi alivyo mchapa kazi mzuri kwa mazingira ya Tanzania. You start from 0 hadi unaweka kitu kinachoeleweka.
Ukijadili na au ku-criticise artical yake mie sina matatizo. Ichambue vizuri tu na kuiweka kwenye vipande. Mie kinachonishangaza unapoanza hadi kujadili picha moja tu uliyoiona na haijulikani nani kaiweka hiyo picha. Hatujui hiyo ni artical yake ya ngapi. Hamjui alikuwa na ndoto ya miaka mingapi kuja kununua hiyo miwani na kofia. Alivyovipata akawa haachani navyo. Wengi tumepitia huko na tulikuwa na nywele zimefugwa na kukatwa ki-aina. Wengine walichonga mashati, wakakata suruali, wakazipanua kwa chini, wakavaa vi-stuli, wakaweka afro, waka...........
Mmoja hapa anasema kuwa ni kijana wa miaka 30. Ka utoto bado kamo ila anaweza kuwa na nia nzuri. Ni kumfundisha na si kum-KOMESHA. Naomba nitumie mfano wa Music producer Queens Jones. Huyu mzee nasikia sifa zake kubwa ukifanya naye kazi ni kuwa hata wewe Fundi Mchundo kama ukiandika wimbo ingawa milele hujawahi andika (tuseme), basi ukimpa ni kuwa siku zote jibu ni kuwa "ohhh, wimbo safi sana. Duu, wimbo mkali huuu....... ila unaonaje kama hapa tukibadilisha na pawe hivi, na pale hivi......." Mwisho wake unaweza kukuta kuwa ulichoandika kimebaki 10%. Ukweli utabaki kuwa huyu mzee na yeye hakukubaliana na wimbo wako ila amefanya hivyo kama ambavyo yule Tommy kwenye The Godfather anamwamba mtoto wa Don Carleon kuwa "jifunze kusema NO inayosound kama YES." Kumjadili Kiingereza chake, kofia yake, miwani yake, na sijui ingelionyesha meno basi hadi meno yake, simu yake, kiatu chake, shati lake nk kinaanza kutia wasiwasi, kweli hawa wanajadili hiyo makala yake au sasa wanamjadili mtu. Wangelijuwa hadi wazazi wake nao wangeliingizwa, maana mzazi wa mtu anayefanya kazi wall street hawezi akatia aibu.
Mama, wanasema msumeno hukata mbele na nyuma. Sasa unaposema kuwa wengine hawapendi kukosolewa, je wewe? By the way niliomba zile picha za matuta ya barabarani kwenye highway zetu. Sijui kama uliuona ujumbe.

Pundit, sijaona kama MIWANI na KOFIA ya jamaa ni chafu. Kama ni Kiingereza tumeambiwa Waingereza wenyewe wanafanya makosa. Ingelikuwa vema kumwelekeza kijana (ingawa sijui hata kama anasoma) na si kumkatisha tamaa. Nakumbuka wakati fulani kwenye Tanzanet ulizuka ubishi mkubwa sana juu ya Helcopiter isiyotumia mafuta. Tulibishana saana na mwisho akaja mwalimu kutoka UDSM idara ya Chemistry(Mr Rajab - heshima mbele) akasema imeandikwa "haitumii Fuel na si kuwa haitumii ENERGY". Ugomvi ukaisha. Ningelitamani mtu kama huyo aelezee sisi tunachopinga na kuwa kama KUMKOSOA kwa alichoandika basi hata sisi tunaunga mkono. Tukusoane na si KUKATISHANA TAMAA.

Queens who?
 
All I can say, Mjomba John M, inabidi ajitayatayarishie Uongozi tanzania kwa sababu kasi anayajadiliwa kwenye forum imevuka mpaka. amewakuna watu vichwa humu. Badala ya kujadili "contents" ya article yake, wameanza kumjadili binafsi na kuanza kutafuta mizengwe ya kumuaribia njia.

Huyu kijana ni mdogo sana, miaka 29 au 30 ni umri mdogo kulinganisha na vizee ambavyo vmeota siyo mvi bali kutu vichwani mwao ilhali hawajazifikia hatua alizopiga piga bwana mdogo.Tusubiri afikapo 40 kasi yenu itakuwa imefikia wapi, either way, ingekuwa vyema sana ikiwa baadhi yenu wangejaribu, badala ya kuandika pumba kwenye blogs, nanyi muandike essays hata moja moja kuhusu mada yake, ili tuone tofauti.

Lakini atakuwa amechemka tena sana kuacha kazi zake kwenda tanzania kwenye huo umri kupambana na well entrenched fisadis.

Endeleeni kumjadili lakini mjue kwamba mnavyozidi kumjadili ndio kadri mnavyozidi kumpatia umaarufu


Kwa wasiyo penda majungu, karibuni forum yenye utulivu

miaka 33, si mtoto mdogo, umaarufu si ndio anaoutafuta. Unadhani hakuna kijana wa miaka 28 anayefanya zaidi ya anayoyafanya huyo mjomba mjomba!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom