figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Mwenyekiti wa chama cha ODM nchini Kenya, John Mbadi amesema Raila Odinga anaandaa baraza la mawaziri ambalo ataliongoza yeye mwenyewe.
"Uhuru Kenyatta serikali yako iliisha jumanne iliyopita. Sasa rais wa Kenya ni Raila Odinga. Tuheshimiane ... muachie Raila afanye kazi"-