SI KWELI John Mnyika ajiuzulu nafasi ya Katibu Mkuu CHADEMA

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Kwa akili Yako Mrema anaweza kuweka hizo sababu kuwa ndio zinamtoa Mnyika

Muwage na Akili bhana 😂
 
Mbona mmekaa nayo kina John Mrema au hamtaki watanzania wajue...? Pole sana kamanda Mnyika ila nakupongeza kwa uamuzi huu muhimu na Mkubwa uliochokiamua ni ishara Tosha kuwa hukubaliani na wizi unaoendelea ndani ya Chadema

Fisiem ,wakiona mambo yanawaendea vibaya na hasa , mambo ambayo Jamii inapaza sauti kwa wingi, basi wanatafuta jambo liltakalo ifanya Jamii Ku divert attention, ili wao wapumue.

Juzi sakata la Masai, lililo pamba moto, wakaghushi taarifa kwamba Tundu Lisu hakubaliani na Masai ya wamasai, wakijua sana kwamba Tundu Lisu ana ushawishi mkubwa kwa Watanzania, leo tena wanakuja na suala la Mnyika kujiuzulu, ni matapeli waandamizi hao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…