John Mnyika ana elimu gani? Uwezo wake wakujibu hoja unatokana na mafunzo ya maprofesa wa bongo au akili za kuzaliwa?

Maisha yapo kasi sana, sahivi utawala wa Mh. Jakaya ni enzi zile
 
Ukishakua ccm huwezi tena kutumia akili zako.wako wengi tu wana mawazo mazuri ila uko waliko mfumo umewafanya wamekua ovyo.
 
Wakati mwingine kuwa objective katika mambo ni tatizo kwa sababu we are always surrounded by many trappings. Mfano, mtu usiyemtakia mafanikio hata akifanikiwa utaona hajafakiwa kama ambavyo wewe ungetaka. Na wengi wetu tunabaki katika level hii ya judgement. We have no good judgement on many things ana we are not ethical as well. So, our way of looking at things is often negative and we hardly affirm the good we see in other people. Ingawa binafsi napenda criticisms kwa sababu zimenisaidia sana ku'improve' katika maisha yangu binafsi, siyo watu wote wanaopenda kuwa criticised. Nilipoanza maisha nilikuwa sina vitu vingi sana na kwa nature ya kazi yangu, niliona niwe na mimi jioni naenda viti virefu kidogo. Mara habari hizo zikatoka. "Ha, mtu mwenye hana ABC, halafu karibu kila jioni utamuona akiwa amekalia kiti kirefu." Mfanyakazi wa ndani aliamua kumwaga mboga. Nilivyosikia nilikasirika sana, nitakataka kumfukuza kwa "kutoa siri nje". Lakini katika kujitafakari nikafikiri amenisaidia kwa sababu amesema vitu ambavyo sina. Nilichofanya nilichukua notebook yangu na kuorodhesha hivyo vitu ambavyo vilitupwa mtaani hata nikawa gumzo mtaani. Nilipomaliza, nikanyamaza. Kila nikipata fedha nanunua kitu kimojawapo na thank God baada ya muda fulani nikawa nime'exhaust' orodha yote na nikaendelea kunyamaza bila kusema kitu. Siku nilipohama eneo lile, likaje gari moja hivi, dereza alivyoona vitu akanishauri kwamba gari lake ni dogo sana, nitafute kubwa. Likaje kubwa, vitu vikapakiwa hata kulazimisha vienee. Wale waliokuwa wakinicheka baadaye nilisikia habari habari zao wakisema: "kumbe yule jamaa alikuwa na akili sana. Watu walimcheka, lakini yeye alijua alichokuwa akikifanya. Alikuwa na vitu vingi sana, hata vile walivyosema hana alikuwa navyo." Hili limebaki kuwa somo kwangu. Watu wakisema kitu fulani negative kinachokuhusu "note it down". Tafakari kama walichosema ni kweli au la. Kama ni kweli kifanyie kazi bila kujitangaza ili watu wenyewe ndiyo waanze kukutangaza wenyewe (wakati huo wewe kimya). This is how we should behave. Wanasiasa wetu hawataki kukosolewa, sisi wenyewe hatutaki kukosolewa, viongozi wetu hawataki kukosolewa, kinachofuata nini? Ni sifa za uwongo/flattery na kwa bahati mbaya wanasiasa wanapenda flattery, sisi tunapenda flattery na viongozi wetu wanapenda flattery. Therefore, flattery everywhere!
 
Mnyika na Lissu ndio mfano wa genius. Sio kinq Nape na Mwigulu wanajua kupayuka tu
 
Polisi hii hii inayotumika kuwabambikia kesi wapinzani?
 
Pamoja namiheshimu mnyika JJ ,maguguli hakuwa mlevi wa madaraka alisimamia maandishi yaliyomo kwenye katiba

Rejea kauli ya nyererere katiba ilimruhusu na mpaka leo inaruhusu rais kuwa dictator

Maguguli ashukuliwe kwa kutokuwa mwongo na janja janja kama alivotuhadaa Jakaya kikwete
 
Nikweli, kwanza nimejigundua mimi ni kritiki, na sometimes judgemental, hivyo nikajikuta nimejenga tendency ya kuwa fault finder, hata likifanyika zuri, nalitafutia ubaya na ukikosa ubaya wowote wa kukosoa then unanyamaza!.

Hivyo JPM tulimpiga spana za kutosha tuu na jina la Magufuli ni dikiteta nililianzisha mimi Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him! baada ya critics kuzidi, ndipo nikaja kujigundua inawezekana kabisa kauli huumba, hivyo ni hizi kauli zetu za kumuita Magufuli dikiteta zimemuumbia udikiteta, Kauli huumba! Je, ni kweli Magufuli ni dikiteta? Kama ni kweli, ni kosa la nani kati yake na aliyetoa kauli hii?

Nikaanza kushauri to change attitudes tusi concentrate on his negatives only, tuangazie his positives as well, Tusilalamike tuu, kulaumu na kulaani kila kitu, kwenye mazuri tupongeze! Rais Magufuli is changing for the better!. baadaye Tusikalie kumlaumu tu Rais Magufuli na Serikali yake wanapofanya mabaya, kwenye mazuri pia tupongeze! nikamnote Magufuli is getting better and better, he is changing for the better. Hongera sana! hivyo nikashauri Magufuli is Doing Good For This Nation, Tumuassess kwa Positive Attitude, Kwa Mazuri Tumpongeze, Tumuunge Mkono Kumsupport, lakini kwa Mabaya Tumkosoe na Rais Magufuli, so far, is the best president this country has ever had. Msikivu, ana upendo na huruma. Atabarikiwa sana. Tanzania itabarikiwa! amini usiamini ule udikiteta alioanza nao, ukayeyuka akaja kuwa a very humble man "Mimi ni Mwenzenu Hapa, Sijabadilika ni Yule Yule "KaJoni" - Ni Maneno Simple, Humble and Down to Earth Yenye Maana Kubwa!, akaanza kutembea na mabulungutu ya fedha na kugawa kwa wahitaji, hadi by the time anatwaliwa he was a saint na ameenda straight to heaven Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

I did the same to Chadema na CCM ile 2010 CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga! CCM changed, Chadema never change!, hivyo spana zinaendelea!.
P
 
Nimekwama hapo kwenye uchawa na kusubiri uteuzi wa udisiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hata dhalimu magu alikuwa anamkubali sana Mnyika, ila kwa bahati mbaya Mnyika hakuwa muumini wa viongozi walevi wa madaraka, ndio maana hakwenda kuunga mkono juhudi enzi za siasa chafu za yule kiongozi muovu.
Nakazia hapo kwa kiongozi muovu jiwe.
 
Mnyika ana akili na vipaji vya kuzaliwa

Btw, Maprofesa wengi ni watu wa kurariri, na sio life masters
 
Kwani alisema katiba kuruhusu rais kuwa dictator alisema kama sifa au udhaifu wa hiyo katiba? Sisi wengine sio waumini wa katiba hii, hivyo ni haki yetu kuwapinga wanaotumia udhaifi wa katiba hii kuleta ulevi wa madaraka.
 
Kuna Fr fulani anaitwa Anthony de Mello (alishafariki). Kuna vitabu ameandika vina hadithi fupifupi kama paragraph moja hivi, lakini kuna mafundisho makubwa. Kuhusu judgement anasema we can judge people according to memory (what we remember about them) or according to reality (what they are now). Hivyo, wakati mwingine hata kama mtu amebadilika bado tendency ya 'memory judgement' inabaki. Ni kama mtu akiniambia alishavuta bangi kila nikikutana naye nafikiri "huenda huyu bwana ameshaanza kuvuta tena". Kwa hiyo, akisema kitu nisichokubaliana naye naweza hata baadaye kusema "nilikutana na mvuta bangi mmoja kaniambia ABC" - judging people according to memory. Wengi wetu tupo kundi hili.
 
Mnyika ni genius. Nasikia alisomea Seminary na masomo yote ya Form six alipata A zote. Ukoo wao ni genius. Baba yake ni Msukuma alikuwa genius na hata Baba yake mdogo Prof. Batibo ni genius. Uelewa wa Mnyika na kupambanua hoja ni mkubwa sana.
Kwhiyo baada ya hixo A za form 6 akakomea hapo kielimu nakuwa chadema au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…