John Mnyika ana elimu gani? Uwezo wake wakujibu hoja unatokana na mafunzo ya maprofesa wa bongo au akili za kuzaliwa?

Kosa lake kuu ni kusaini barua ya kina Mdee na baadae kukana kuwa sio yeye
Acha kutufanya wapumbavu. J.J Mnyika aliwezaje aliwezaje kupeleka list ya majina ikiwa na jina moja la Mwanachama aliyekuwa Gerezani?? Na je ni nani aliyetoa kibali cha kumuondoa usiku Mwanachama yule Gerezani kisha kumuwahisha Dom kwenda kuapishwa??
 
Kwani alisema katiba kuruhusu rais kuwa dictator alisema kama sifa au udhaifu wa hiyo katiba? Sisi wengine sio waumini wa katiba hii, hivyo ni haki yetu kuwapinga wanaotumia udhaifi wa katiba hii kuleta ulevi wa madaraka.
Bado ,unakosea mkuu ,huwezi kuwapinga wanaosimamia katiba na katiba inawaruhusu wafanye hivyo , naweza ungana nawewe ukisema tunatakiwa kuikataa katiba iliyopo inayosimamiwa na viongozi


Narudia ,kikwete alitoa hisani kwa vyama vya upinzani na wao wakabweteka ,hivyo nitabakia kumshukuru maguguli kutuonesha palipokuwa panavuja na panapoendelea kuvunja
 
Mnyika kichwa kile ,
Tanzania one ya zamani ile
 
Ni wapi wapinzani wameikubali katiba hii Hadi useme nakosea? Katiba hii kuendelea kuwepo sio kuwa inakubalika.
 
Nakubaliana na tathimini yako
 
Kumbe kuna kipindi huwa unajizima data kwa maksudi eeeeh???
 
Mtu anakuhukumu kwa kile ulichofanya, sio unachoweza kufanya. Ukifanya unachoweza inakuwa ni surprise kwake.
 
Mtu anakuhukumu kwa kile ulichofanya, sio unachoweza kufanya. Ukifanya unachoweza inakuwa ni surprise kwake.
Kuna watu wanahukumu hata kwa kufikiri tu kwamba unaweza kufanya hivi na hata kama hufikirii hivyo, wao wameshaona utafiri hivyo. Ujue kuna watu wanaona wao ni watakatifu tangu kuzaliwa kwao na wanawaona wengine kama wakosefu tangu kuzaliwa kwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…