Uchaguzi 2020 John Mnyika: Hatujateua majina ya wabunge Viti Maalum. Tunafuatilia Ofisi ya Spika na tukithibitisha hujuma au usaliti hatutasita kuchukua hatua

Uchaguzi 2020 John Mnyika: Hatujateua majina ya wabunge Viti Maalum. Tunafuatilia Ofisi ya Spika na tukithibitisha hujuma au usaliti hatutasita kuchukua hatua

Kwa kiasi fulani uko sawa. Hapa ni ruzuku inapiganiwa. Haiwezekani jambo zito kama hili mwenyekiti yupo kimya kuanzia hujuma zinafanyika mpaka zinatimia.
Nyie mnataka Mwenyekiti uwekezaji wake uende bure kwa kuendekeza siasa zisizolipa?
 
Nyinyi mmebakia kutumiwa tu humu mitandaoni kwa kukanusha yasiokanushika. Ww au huyo aliekutuma hamna uchungu na chadema zaid ya Halima Mdee. So ukiona hivyo ujue kina Halima wanabaraka zote za uongozi wa juu, ww na huyo aliekutuma hamuwezi kuzuia maamuzi hayo na mkiona mnakereka hameni chama. Vyama vyenye misimamo tofauti na hii ya chadema ni vingi
Halafu CDM Bora bawacha wanaushirikiano wanaume humu ni keyboard warriors Ila nje ni waoga angalia wanaume waliosaliti wananchi, kulinganisha na wanawake ambao hawakukata tamaa
 
Kwa sababu wamemwaga mboga na Halmashauri imwage ugali
Halmashauri ikae iteue Majina 19 viti maalumu ipelekeTume ya uchaguzi na iseme hatuutambui uteuzi wa Akina mdee
Halmashauri nayo inataka ruzuku toka serikalini.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naona lawama zinaenda kwa mdee wakati hili jambo lina baraka zote kutoka kwa kamati kuu ya chama.
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema, chama hicho hakijateua majina ya wabunge wa viti maalum “ niliandika barua NEC kuwajulisha. Tunafuatilia yanayojiri Ofisi ya Spika wa Bunge na tukithibitisha hujuma au usaliti hatutasita kuchukua hatua.”



Halima Madee na Ester Bulaya kujifanya makamanda kumbe makamanda njaa tu. Hongera CHADEMA kwa msimamo usioyumba. Kesho Kamati Kuu ikae kufukuza wote hao.
Hapo ndio nchi inakuwa ya chama kimoja jumla jumla
 
"Nikishukuru chama changu cha Chadema kikiongozwa na Mwenyekiti wetu Freeman Mbowe ambao kupitia wao sisi tumepata nafasi ya kukiwakilisha chama chetu, viti hivi siyo hisani ila ni sehemu ya ushindi mkubwa ambao chama chetu kilipata"- Halima Mdee

Hiyo ni kauli ya Mdee
Mnyika na Lisu inawezekana bado ni wageni ndani ya chama
 
Back
Top Bottom