John Mnyika na John Heche turufu ya CHADEMA kuelekea uchaguzi mkuu 2025

John Mnyika na John Heche turufu ya CHADEMA kuelekea uchaguzi mkuu 2025

Thailand

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2019
Posts
275
Reaction score
795
Sitashangaa endapo mmoja kati ya hawa magwiji wa siasa za hoja wakipata nafasi ya kupeperusha bendera ya kugombea urais wa Tz kupitia CDM.

Jamaa wana uelewa mpana kwa kugonga spana kwa hoja kali sana,

Pili hawa jamaa hawana makando kando mengi kwa jamii hivyo wananchi wanaowafatilia kwa umakini sana.
Pia ni watetezi wa wananchi kwa kutunguliza uzalendo mbele fuatilia utatuzi wa migogoro migodini Nyamongo na kwingineko.

Cha kuomba hawa viongozi;

_ Kujiepusha na makando kando wasipunguze uaminifu wao kwa jamii,
_ Jiepusheni kumponda Magufuli mbele ya wananchi, kwa maana wananchi wengi bado wanamkubali sana huyo mwamba refer tukio la ujazaji wa maji bwawa la Nyerere,

_ Wekezeni kwenye makongamano ya akina mama maana hao ndo kwa kiasi kikubwa uenda kupiga kura. Wanawake wengi hawamkubali mama kwa sababu wao ndo wanaenda sokoni kununua maitaji na kuona namna wanavyoshudia bei zimepanda kwenye kila kitu muhimu hasa chakula. Hiyo inasababisha kumlaumu sana
 
bila Katiba mpya, Tume huru ya uchaguzi hata agombee malaika toka mbinguni CCM lazima watashinda tena kwa idadi ya kura wanazozitaka wao - ukweli mchungu ila daka hiyo itakusaidia.
 
Sitashangaa endapo mmoja kati ya hawa magwiji wa siasa za hoja wakipata nafasi ya kupeperusha bendera ya kugombea urais wa Tz kupitia CDM.
Jamaa wana uelewa mpana kwa kugonga spana kwa hoja kali sana,
Pili hawa jamaa hawana makando kando mengi kwa jamii hivyo wananchi wanaowafatilia kwa umakini sana.
Pia ni watetezi wa wananchi kwa kutunguliza uzalendo mbele fuatilia utatuzi wa migogoro migodini Nyamongo na kwingineko.

Cha kuomba hawa viongozi;
_ kujiepusha na makando kando wasipunguze uaminifu wao kwa jamii,
_ Jiepusheni kumponda Magufuli mbele ya wananchi, kwa maana wananchi wengi bado wanamkubali sana huyo mwamba refer tukio la ujazaji wa maji bwawa la Nyerere,
_ wekezeni kwenye makongamano ya akina mama maana hao ndo kwa kiasi kikubwa uenda kupiga kura. Wanawake wengi hawamkubali mama kwa sababu wao ndo wanaenda sokoni kununua maitaji na kuona namna wanavyoshudia bei zimepanda kwenye kila kitu muhimu hasa chakula. Hiyo inasababisha kumlaumu sana
Kama ni kutetea watu wa Nyamongo basi Tundu Lissu anastahili tuzo maana kaanza kuwatetea kitambo sana
 
Wewe naona umeugeuza urais kama vile u-katibu kata!

Urais sio kila mpiga kelele tayari anastahili kuwa presidential material!
 
Ukitaka kujua CHADEMA haina watu wa kuweza kuongoza hata Mkoa achilia Nchi ambayo kwa watu wenye maarifa ni matusi basi jaribu kuangalia taswira ya Makao yao Makuu ya Chama!

CHADEMA ni Chama cha kutafutia ruzuku na kupiga piga kelele mitaani na kuleta vibe kama la ushabiki wa Simba na Yanga basi!
 
Heche hoja zake huwa zinaeleweka sana hata akiwa bungeni
 
Wewe naona umeugeuza urais kama vile u-katibu kata!

Urais sio kila mpiga kelele tayari anastahili kuwa presidential material!
Kama bwana yule alikua, nani atashindwa ipo siku ccm mtamteua hata mollel,kibajaj, au jahpeople
 
Ukitaka kujua CHADEMA haina watu wa kuweza kuongoza hata Mkoa achilia Nchi ambayo kwa watu wenye maarifa ni matusi basi jaribu kuangalia taswira ya Makao yao Makuu ya Chama!
CHADEMA ni Chama cha kutafutia ruzuku na kupiga piga kelele mitaani na kuleta vibe kama la ushabiki wa Simba na Yanga basi!
Sasa CCM kuna nini, au ndiyo biashara ya kukopakopa kila siku, ngoja mpigwe mnada
 
bila Katiba mpya, Tume huru ya uchaguzi hata agombee malaika toka mbinguni CCM lazima watashinda tena kwa idadi ya kura wanazozitaka wao - ukweli mchungu ila daka hiyo itakusaidia.
Kila kitu kina mwisho wake
 
acheni na sisi wakurya tuongeze hii nchii wakurya hatupeendi mtu aonenewe ni haki bini haki
 
Sitashangaa endapo mmoja kati ya hawa magwiji wa siasa za hoja wakipata nafasi ya kupeperusha bendera ya kugombea urais wa Tz kupitia CDM.

Jamaa wana uelewa mpana kwa kugonga spana kwa hoja kali sana,

Pili hawa jamaa hawana makando kando mengi kwa jamii hivyo wananchi wanaowafatilia kwa umakini sana.
Pia ni watetezi wa wananchi kwa kutunguliza uzalendo mbele fuatilia utatuzi wa migogoro migodini Nyamongo na kwingineko.

Cha kuomba hawa viongozi;

_ Kujiepusha na makando kando wasipunguze uaminifu wao kwa jamii,
_ Jiepusheni kumponda Magufuli mbele ya wananchi, kwa maana wananchi wengi bado wanamkubali sana huyo mwamba refer tukio la ujazaji wa maji bwawa la Nyerere,

_ Wekezeni kwenye makongamano ya akina mama maana hao ndo kwa kiasi kikubwa uenda kupiga kura. Wanawake wengi hawamkubali mama kwa sababu wao ndo wanaenda sokoni kununua maitaji na kuona namna wanavyoshudia bei zimepanda kwenye kila kitu muhimu hasa chakula. Hiyo inasababisha kumlaumu sana
Heche arudishe mil.800 alizopiga wakati wa kujenga Kituo Cha Afya ambacho Hadi leo hii hakijaisha kule Tarime..
 
Acha masihara basi!! Hao hata kwenye ubunge hawakutosha, 2025 hata wasijisumbue kuchukua fomu hata za udiwani make watatia aibu, labda 2024 waombe uwenyeviti wa vitongoji kidogo labda watazitendea haki hizo nafasi.
 
Back
Top Bottom