John Mnyika ndo mwanasiasa mwenye mvuto kwa sasa

John Mnyika ndo mwanasiasa mwenye mvuto kwa sasa

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Great thinkers.

Correct me if I'm wrong. Kiufupi John Mnyika ndo mtu pekee anaweza kusimama na kushawishi jambo Kwa Sasa.

Zitto Kabwe pumzi imeisha mapame baada ya kulamba asali.

Ila sitashangaa kutokea kwa usaliti wowote ule maana wanasiasa wetu wanajulikana.

Ukiwa famous unarudi CCM kuchota mabilions kwenda Kula na familia.
 
Mnyika mvuto upi anao wa sura au nini ? Mbona amepoa kama mchuzi usio na nyama wa jana.
 
Great thinkers.

Correct me if I'm wrong. Kiufupi John Mnyika ndo mtu pekee anaweza kusimama na kushawishi jambo Kwa Sasa.


Zitto kabwe pumzi imeisha mapame baada ya kulamba asali.


Ila sitashangaa kutokea kwa usaliti wowote ule maana wanasiasa wetu wanajulikana.


Ukiwa famous unarudi CCM kuchota mabilions kwenda Kula na familia.
wewe mr JOHN MNYIKA , hebu tulia kwanza tunauwakika hii akaunti ni yako ! usituzingue unamvuto kwa wanao tu na mkeo, kaa utulie
 
Mvuto gani sasa, wakati huko Twitter post zake zinapata wachangiaji watatu? 😲
 
Back
Top Bottom