TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
You are refraining to use the indefinite or definite articles in your sentence. This is among the actions, which reveal your identity of being not a English native speaker.Low point and things dont add up.
Rais kapotoshwa na nani?
Huyu ni Rais gani anayepotoshwa kila mara namna hii?...
niidhamu za kijinga unaongelea bila shakaKauli alizo zitumia Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika dhidi ya Rais zina ukakasi sana, zimekosa adabu na nidhamu kwa kiongozi wa nchi.
nadhani kwa utovu huu alio uonyesha Mnyika nimeshangaa kwa nn alipewe nafasi ya ukatibu mkuu...
Raisi amesema Urongo ?mataga pori bana.
Mnyika kusema Samia either amedanganywa or ameamua kusema uongo ndiyo kauli zilizokosa adabu?
Wewe ukisema watakusikiliza ndugu yangu... Hii interview ya BBC imeacha maswali mengi:Rais kapotoshwa na nani?
Huyu ni Rais gani anayepotoshwa kila mara namna hii??...
Rais kapotoshwa na nani?
Huyu ni Rais gani anayepotoshwa kila mara namna hii?...
haitoshi mkuu huyu apewe 30 kabisa maana anaupiga mwingi balaa.10 tena kwa Mama!
Truly,I m not, are you?You are refraining to use the indefinite or definite articles in your sentence. This is among the actions, which reveal your identity of being not a English native speaker.
Tusaidie sasa ...amefanywaje?Rais kapotoshwa na nani?
Huyu ni Rais gani anayepotoshwa kila mara namna hii?
Kila akiboronga, ni kapotoshwa!
WTF [emoji15].
Ina maana ni mweupe kiasi hicho cha kuweza kupotoshwa kila mara?
nani katukanwa?CDM ya sikuhizi ni matusi tu baada ya kushawishi watu kwa hoja wanatumia lugha chafu, wamenisikitisha sana
Mimi si Chadema bali CCM originale, nyie mlioingia chama kwa kusifu na kuabudu mna matatizo makubwa kufikiri.Chadema mnajikutaga mpo na upeo mkubwa sana.. Kumbe matapishi tu
Ok tufanye hajapotoshwa he, Kwa kesi ya mbowe Nani ambae ameshafungwa?Rais kapotoshwa na nani?
Huyu ni Rais gani anayepotoshwa kila mara namna hii?
Kila akiboronga, ni kapotoshwa!
WTF 😳.
Ina maana ni mweupe kiasi hicho cha kuweza kupotoshwa kila mara?
Tozo ilipitishwa Bungeni. Bungeni wanawakilishwa na wabunge tafsiri yake " wananchi wameikubali tozo "Chama cha upinzani nchini Tanzania Chadema, kimesema rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan “aidha amepotoshwa au ameamua kusema uongo” katika baadhi ya mambo ambayo ameyatolea ufafanuzi katika mahojiano yake maalumu aliyofanya na BBC.
Kauli hiyo, imetolewa hii leo na Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika pindi alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.
Mnyika, amepinga baadhi ya hoja zilizotolewa a rais Samia ikiwemo zile zinazodai kwamba, Mbowe kwa muda mrefu alikuwa nje ya nchi baada ya kujua ana kesi inayomkabili, hivyo kusema, “hakuna wakati ambao kiongozi huyo ametoroka nchi au amekuwa nje ya nchi kinyume cha sheria.”
Mnyika ameongeza kusema kuwa, wakati ukifika, “chama kitatoa vielelezo vitakavyoonyesha uhalali wa safari hizo.”
Hata hivyo, rais Samia alipoulizwa iwapo kesi hiyo ya Mbowe ni ya kisiasa, alikataa kulitolea ufafanuzi wa kina kwa kusema kuwa, tayari kesi hiyo iko mahakamani, hivyo ni vyema kuachia mahakama kufanya kazi yake.
Lakini tayari Chadema inamlaumu rais Samia kwa madai kwamba ameingilia uhuru wa mahakama, na kusema, wameongeza na jopo la mawakili wao ili kuona ni hatua gani wanaweza kuchukua.
Aidha miongoni mwa mambo mengine ambayo Chama hicho kimeyajibu ni pamoja na kauli ya rais aliposema kuna tofauti kati ya demokrasia ya kisiasa na fujo za kisiasa, hivyo kuashiria kwamba, baadhi ya maandamano yanayoitishwa na vyama vya kisiasa kama fujo za kiasa.
Hata hivyo, kauli hii inaonekana kuwa mwiba kwa chama hicho cha upinzani ambapo Mnyika amesema kupiga marufuku mikutano hiyo ya hadhara ni kinyume cha katiba ya nchi na sheria za vyama vya kisiasa.
Chadema pia imedai kwamba rais Samia amepotosha umma pale aliposema kwamba, wananchi wamekubali tozo za simu, ila kiwango cha tozo ndio hawajakikubali.
Nchini Tanzania kumekuwa na maoni tofauti baada ya BBC kufanya mahojiano na rais Samia ambayo yamegusia nyanja mbalimbali ikiwemo masuala ya demokrasia, uhuru wa vyombo vya habari pamoja na masuala mengine kadhaa.
Sorce: BBC Swahili
Mnyika huyu huyu ndiye aliye kuwa namtukana kiongozi ktk awamu ya 4, akatumia kinga ya bunge.
huyu jamaa amekosa adabu sana kwa viongozi wetu.
sasa sijui inawezekana kufundishwa adabu ukubwani?
kama inawezekana basi afundishwe angalu siku nyingine asiwe anaharisha.