John Mnyika: Rais Samia "aidha amepotoshwa au ameamua kusema uongo”

Mnyika huyu huyu ndiye aliye kuwa namtukana kiongozi ktk awamu ya 4, akatumia kinga ya bunge.

huyu jamaa amekosa adabu sana kwa viongozi wetu.

sasa sijui inawezekana kufundishwa adabu ukubwani?

kama inawezekana basi afundishwe angalu siku nyingine asiwe anaharisha.
 
Ni lugha ya kupunguza makali yaani tafsida lakini maneno sahihi hapo ni kusema rais ni mwongo. Mwisho wa kunukuu
Rais kapotoshwa na nani?

Huyu ni Rais gani anayepotoshwa kila mara namna hii?...
 
Kauli alizo zitumia Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika dhidi ya Rais zina ukakasi sana, zimekosa adabu na nidhamu kwa kiongozi wa nchi.
nadhani kwa utovu huu alio uonyesha Mnyika nimeshangaa kwa nn alipewe nafasi ya ukatibu mkuu...
niidhamu za kijinga unaongelea bila shaka
 
Reactions: BAK
Rais kapotoshwa na nani?

Huyu ni Rais gani anayepotoshwa kila mara namna hii??...
Wewe ukisema watakusikiliza ndugu yangu... Hii interview ya BBC imeacha maswali mengi:
1. Ni kwa nini polisi walimuacha mtuhumiwa wa Ugaidi toka September kabla ya uchaguzi analandalanda bila kumfikisha kwa Pilato?

2. Huyu mtuhumiwa wa ugaidi, amewezaje kusafiri nchi mbalimbali akipitia mipaka ya Tanzania na passport ya Tanzania?

3. Huko alikokuwa anatembelea, alikuwa anafanmya nini au kuratibu nini? Je Ziara hizo zina athari gani kwa taifa kwa kuwa huyu mtuhumiwa labda alikuwa anawatembelea magaidi wenzake

4. Tuko salama kiasi gani kwa sasa kama nchi ikizingatiwa tuna watuhumiwa wa ugaidi kuanzia wale wa Uamsho na sasa Mbowe?

5. Ni kwa nini Polisi hawakumhifadhi hiyo September 2020? Kwa nini sasa? kuna ulazima gani sasa kumukweka rumande ilihali aliku free tu huko nje bila madhara? Kwa nini sasa na kwa nini sio September 2020.

Maswali ni mengi, Labda Nyani Ukiwauliza watakusikia
 
ccm wanajiona wameyapatia maisha, ipo siku...watalia na kusaga meno.
 
Rais HAPOTOSHWI kwa mambo yasiyo ya kitalaamu bali anaamua kwa makusudi kuchukua ushauri ule unaodhani amepotoshwa!!!

Hata kama ingekuwa kweli amepotoshwa, bado angesema "Hapana... nimeshatangaza hadharani kwamba tunaanza upya, kwahiyo hizi kesi sijui za ugaidi sitaki kuzisikia hadi mniletee hard evidence isiyo na shaka yoyote ile inayohalalisha kumpeleka Mbowe Mahakamani"!

Ikiwa alitamka hadharani kwamba kesi za uhujumu zipitiwe upya na kuzifuta zile zote zisizo na ushahidi, je alifanya hivyo kwa kesi ya Mbowe iliyoibuka from nowhere?!

Leo anadai hawezi kuongea sana kwa sababu kesi ipo mahakamani, je alijaribu kutaka kuiongelea kabla haijapelekwa mahakamani?!

Au amesahau kwamba Mbowe amepelekwa mahakamani wakati wa utawala wake? Kwanini basi hakuingilia kati wakati huo?
 
'" Askari wetu huwa awakosei shabaha"
"Lisu alijipiga mwenyewe risasi"
Hapa alidanganywa
 
Rais kapotoshwa na nani?

Huyu ni Rais gani anayepotoshwa kila mara namna hii?

Kila akiboronga, ni kapotoshwa!

WTF [emoji15].

Ina maana ni mweupe kiasi hicho cha kuweza kupotoshwa kila mara?
Tusaidie sasa ...amefanywaje?
 
Rais kapotoshwa na nani?

Huyu ni Rais gani anayepotoshwa kila mara namna hii?

Kila akiboronga, ni kapotoshwa!

WTF 😳.

Ina maana ni mweupe kiasi hicho cha kuweza kupotoshwa kila mara?
Ok tufanye hajapotoshwa he, Kwa kesi ya mbowe Nani ambae ameshafungwa?
 
Tozo ilipitishwa Bungeni. Bungeni wanawakilishwa na wabunge tafsiri yake " wananchi wameikubali tozo "
Wamekubali kwa kiwango gani huo ndio mjadala.
 

Labda atakuwa kamwelewa huyu hapa:



Kukemewa kwa viongozi wa aina hii wenyewe na washirika wao huita ni kutukanwa.
 
SSH anadhani kujipanga na Sukuma Gang kutampa urais 2025:


Kama Neema hata kazini kwake hataki aguswe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…