Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
bawacha wasipandikize chuki kwa mama yetu kipenzi cha wazalendo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No. And you?Heeee...! Are u mentally sick?
Wasije wakamzingiraMnyika apewe/aongezewe ulinzi.
Labda yupo juu ya maweMtatukana matusi yote mamamamae zenu, lkn Samia atabaki juu Hadi mwisho wa pumzi zenu. Anatafuta njia ya kuzungumzia na mama Samia huyo nyumbu wa lissu.....aelewe, Samia Yuko busy na mambo ya msingi na alishawapotezea nyie mafala muda mwingi sana. Amewajua kuwa ni washenzi msiofadhilika. Nyie ni wanafiki no.1 wa@#$@nzi wakubwa.
Natamani angekuwepo JPM, tusi kama lazima angepyambyika nyumbu huyo mjinga na mpumbavu asiyejielewa mwenye mihemko ya kike.
Mama yako yupo kimbiji huko anachuma chungabawacha wasipandikize chuki kwa mama yetu kipenzi cha wazalendo
Wakuu,
Baada ya kuchoma vitenge vya Rais Samia, siku ya leo Mnyika amesema wazi kuwa BAWACHA wanatakiwa kuirudisha rasmi ile tuzo ambayo BAWACHA walimpa Rais Samia.
Mnyika kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake amesema kuwa BAWACHA wanatakiwa kumvua ile tuzo ambayo walimpa Rais Samia mwaka 2023 kwani alichoahidi hakutimiza
Mnyika alisema:
"Siku kama ya leo mlikuwa na maadhimisho Kilimanjaro na kwa sababu pengine ya dalili zilizokuwepo kwenye maridhiano, BAWACHA mkafanya uamuzi wa kumpa Rais tuzo. Tuzo ya BAWACHA Ingempa motisha zaidi lakini ile motisha ikawa ni uharibifu zaidi'
Mwanamke mwenzenu mliyemuamini alikuwa mnafiki, toka 2023 na sasa 2025. Kwenye hili sitaki kuwaelekeza ila naweza kuwashauri kwakweli anastahili kuvuliwa ile tuzo aliyopewa Tarehe 8 Mwezi wa 3 mwaka 2023 kwa sababu yale aliyoashiria hayakuwa kama alivyoyaashiria"