Pre GE2025 John Mnyika: Siku kama ya leo BAWACHA mlimpa Rais tuzo. Mwanamke mliyemuamini alikuwa mnafiki. Anastahili kuvuliwa ile tuzo!

Pre GE2025 John Mnyika: Siku kama ya leo BAWACHA mlimpa Rais tuzo. Mwanamke mliyemuamini alikuwa mnafiki. Anastahili kuvuliwa ile tuzo!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
bawacha wasipandikize chuki kwa mama yetu kipenzi cha wazalendo
 
Mtatukana matusi yote mamamamae zenu, lkn Samia atabaki juu Hadi mwisho wa pumzi zenu. Anatafuta njia ya kuzungumzia na mama Samia huyo nyumbu wa lissu.....aelewe, Samia Yuko busy na mambo ya msingi na alishawapotezea nyie mafala muda mwingi sana. Amewajua kuwa ni washenzi msiofadhilika. Nyie ni wanafiki no.1 wa@#$@nzi wakubwa.
Natamani angekuwepo JPM, tusi kama lazima angepyambyika nyumbu huyo mjinga na mpumbavu asiyejielewa mwenye mihemko ya kike.
Labda yupo juu ya mawe
 
Wakuu,

Baada ya kuchoma vitenge vya Rais Samia, siku ya leo Mnyika amesema wazi kuwa BAWACHA wanatakiwa kuirudisha rasmi ile tuzo ambayo BAWACHA walimpa Rais Samia.

Mnyika kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake amesema kuwa BAWACHA wanatakiwa kumvua ile tuzo ambayo walimpa Rais Samia mwaka 2023 kwani alichoahidi hakutimiza

Mnyika alisema:

"Siku kama ya leo mlikuwa na maadhimisho Kilimanjaro na kwa sababu pengine ya dalili zilizokuwepo kwenye maridhiano, BAWACHA mkafanya uamuzi wa kumpa Rais tuzo. Tuzo ya BAWACHA Ingempa motisha zaidi lakini ile motisha ikawa ni uharibifu zaidi'

Mwanamke mwenzenu mliyemuamini alikuwa mnafiki, toka 2023 na sasa 2025. Kwenye hili sitaki kuwaelekeza ila naweza kuwashauri kwakweli anastahili kuvuliwa ile tuzo aliyopewa Tarehe 8 Mwezi wa 3 mwaka 2023 kwa sababu yale aliyoashiria hayakuwa kama alivyoyaashiria"



Alikuwa mnafiki kweli
 
Dah, nyumbu wapo tabuni aisee...mama Samia kamatia hapo hapo Hadi wajifungulie majiani hawa wapuuzi.
 
Back
Top Bottom